sijuikitu
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 286
- 12
Hivi huyu Baba Nanihii vipi? Wenzake tunateseka na mgao na uhaba wa mafuta, yeye anaongelea udini!
Ndio hiki ni kipindi cha Ramadhani kwa hiyo kwenye "normal" condition topic ya udini ingeongelewa.....Lakini huoni kua huu sio muda wake? Huoni kua kuna tatizo kubwa sana linaloendelea sasa hivi?
Umelogwa?
Ndio hiki ni kipindi cha Ramadhani kwa hiyo kwenye "normal" condition topic ya udini ingeongelewa.....Lakini huoni kua huu sio muda wake? Huoni kua kuna tatizo kubwa sana linaloendelea sasa hivi?
Umelogwa?