Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,511
- 40,592
Ni kweli mkuu,ndio maana wanasema ili usipate magonjwa ya moyo ridhika na ulichonacho kwani ni Mungu ndiye amepanga iwe hivyo.Oh, hapo kuna suala la kujiwekea akiba, sio kuingia.
Je ukipatacho inatumia sawa sawa....?
Mafanikio ni kitu hata sana, maana kutegemea na uwezo wako pia inaleta mafanikio ukijilinganisha ulionao.
Kubwa ishi maisha yako