Ndugu zangu mimi niliitwa kufanya interview kwenye shule fulani hapa mbeya inaitwa umoja primary. Baada ya wiki mbili nilipigiwa simu na mtu ananiuliza ww ndo fulani nikasema ndiyo lakini akaniambia samahani nimekupigia kwa bahati mbaya na mm nikashangaa sana maana nimesafiri mpaka kufika hapo. Hii Tanzania tunaelekea wap? Nimempigia mmojawapo wa interviwers maelezo yake na ya yule Acting manager yakawa tofauti nisaidieni nifanyeje. huku mbeya ndiyo mambo yetu