Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 3,518
- 6,497
- Thread starter
- #21
Nyie ndugu zetu inabidi tuishi nanyi hivyo hivyo mkuuHata sijui umeindika nini lakini ngoja nikujibu
Nyie ndugu zetu inabidi tuishi nanyi hivyo hivyo mkuuHata sijui umeindika nini lakini ngoja nikujibu
Sina la kuongeza mkuuTukumbuke pia sasa hivi kuna changamoto kubwa ya watu wengi kuwa na magonjwa ya akili. Yaani ni vichaa ila vya kwao havijafikia viwango vya kuvaa nguo chafu na kuokota chakula na makopo majalalani. Sasa hivi kuna vichaa wengi wanauramba, na kujiremba huwezi kuwatambua kuwa zimefyatuka kwa kumtazama tu.
Utakuja kujua zimefyatuka kwa kuwasikia wakitoa upupu kwenye vinywa vyao au upupu wa matusi na maneno machafu kupitia maandishi yao hapa JF na kwingineko.
Hahaha tunajua hamkosagi humuHata huu pia hatutausoma wote, nimeishia hapo ulipoanza kutoa mapovu.
Sana tu, kuna mambo ya ajabu mho humu....hywezi kuamini. Uswahili ninaouona humu si wa nchi hii, halafu waswahili wenyewe wako mbele sana kuwasingizia na kuwasema watu wa maeneo ya pwani.Sawa mkuu
Kumbe Mimi nimewapendelea sana
Shukrani Sana mkuu Kwa mchango wakoSana tu, kuna mambo ya ajabu mho humu....hywezi kuamini. Uswahili ninaouona humu si wa nchi hii, halafu waswahili wenyewe wako mbele sana kuwasingizia na kuwasema watu wa maeneo ya pwani.
Ndio haya mambo ya uelewa yanapohusishwa na huu uzi. Kwa nini usianzishe uzi maalum wenye hilo swala? Huoni kama mada itabadilika juu ya kinachoongelewa katika huu uzi?Umeona sasa umewakilisha kundi kubwa la watu kwenye dini yenu.
Wewe mwenyewe kwenye mada yako umekiri kuna mambo watu hatuyaelewi halafu kufafanua hapo umeshindwa.
Hata kama its wher u dare talk openly doesn't mean umtukane mtu tena kwa matusi makubwaSawa kama wewe umeona hivyo
Ni kweli is the home of great thinker
lakini pia.
is where we dare to talk openly.