Mpambanaji17
Senior Member
- Feb 18, 2024
- 100
- 181
Nafikiri humu kama unaanzisha biashara yako usije kabisa maana wana JF ni wajuaji utafikiri wote matajiri😂😂...halaf anaweza akaa anaongea kitu ambacho hakijui utafikiri anakijua kuliko wewe......Wafanyabiashara tupeni ushuhuda!!