zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,835
Hello MMU.The Love Connect ndo jukwaa kwa ajili ya kutafuta wapenzi/girlfriend Ila najaribu kujiuliza kama kweli kuna mtu alishawahi kubahatika kupata Girlfriend/Boyfriend hapa JF kupitia JF.
Sio tu Girlfriend/Boyfriend tuseme pia na kumpata mwenza yaani mke/mme ambao labda mpaka walifunga ndoa. Kama yupo aseme Kama relationship yao ili last au ilipotelea mawinguni ili nishawishike na mimi nione kama its real kweli.
Au huwa watu wanaitumia for Fun tu and not for starting relationships. Au JF wote walishajitosheleza tayari wana majiko na wengine wana family tayari coz maybe wanawake na wanaume wa humu watakuwa maybe ready for steady relationships
Sio tu Girlfriend/Boyfriend tuseme pia na kumpata mwenza yaani mke/mme ambao labda mpaka walifunga ndoa. Kama yupo aseme Kama relationship yao ili last au ilipotelea mawinguni ili nishawishike na mimi nione kama its real kweli.
Au huwa watu wanaitumia for Fun tu and not for starting relationships. Au JF wote walishajitosheleza tayari wana majiko na wengine wana family tayari coz maybe wanawake na wanaume wa humu watakuwa maybe ready for steady relationships