Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 51,931
- 23,389
Nimejaribu sana kuwaza hilo swala wale watu wanapita na makelele majumbani tunanunua simu mbovu shida nini na zinaendaga wapi zikinunuliwa??
Tulishazoea chuma chakavu. Pesa mbovu.
Hivi sasa wananunua na simu mbovu aisee.
Majuzi niko bar naona mtu na mkewe wana sumaku mkononi wanaokotaaa vizibo vya bia
Aisee leo niko sehemu nakula naona wamama wanaokota chupa za kvant na konyagi...
Tulishazoea chuma chakavu. Pesa mbovu.
Hivi sasa wananunua na simu mbovu aisee.
Majuzi niko bar naona mtu na mkewe wana sumaku mkononi wanaokotaaa vizibo vya bia
Aisee leo niko sehemu nakula naona wamama wanaokota chupa za kvant na konyagi...