Hivi hili swala la zanzibar kuvunja katiba ya JMT sio tatizo kwa Jakaya?

Mwinyi ni mzanzibar kwasababu aliweza kuwa raisi wa zanzibar na Mtanganyika hawezi kuwa raisi wa zanzibar.
 
Katika hali isyokuwa ya kawaida leo Kikwete amekwepa kabisa kuzungumzia swala zito la zanzibar kuvunja katiba ya JMT. Huu ulegevu na kuficha ficha kuambina ukweli ndio muungano unaotetewa? Km sehemu moja ya muungano haishimu katiba ya muliyokubaliana kuna muungano tena hapo?

Ile hotuba nilianza kuifurahia mwanzoni lakini baadae alinikata maini kabisa. Kwamba kwa mtazamo wake katiba inayofaa ni ile inayowatetea wazanzibari kwa kila wanachokitaka, lakini watanganyika haki yao haitamkwi wala kutetewa. Nilichukizwa sana na ule mfano aliotoa wa wapemba wanaolima vitunguu Dodoma, jinsi alivyosema aliwatetea kwa kumwambia mhe Simbachawene kuwa "hawa ni watanzania, hapa ni kwao mmewakaribisha wenyewe", lakini hapohapo hakutaka kujibu ni kwanini haki kama hiyo watanganyika hawaipati wakienda Zanzibar? Sasa huu ni muungano gani wa kulazimishana kwamba wengine wafaidi vyetu nasi tusifaidi vyao?
 
Karibu serikali mbili, Two government system reformed.
Bado unapendwa sana.

mkuu serikali mbili kwa nchi moja inawezekana na ndio hiyo kikwete aliyoachiwa na mkapa lakini kwa misingi na makubaliano ya manufaa kwa pande zote, lakini kama znz itakuwa nchi kamili yenye mamla yake huoo muungano haupo bila tanganyika kuzaliwa. kitendo cha znz kuunda katiba yao na kuvunja ile ya jamhuri huku JK akiwachekea ndio iliyoleta matatizo makubwa zaidi ndani ya muungano. na kama hatutaki Tanganyika basi tarehe 9 dec tuifute au tuseme ni maulidi
 
Back
Top Bottom