Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,542
- 7,377
Juzi baada ya ule mdahalo wa ubunge vijana pale movenpic kulikuwa na taarifa ya habari ambapo rais anayemaliza muda wake abeid karume alitangaza na kufanya sherehe huko zenj ya kufuta kwa ada katika shule zote za serikali(sijajua hii ni hadi vyuo au la),ndio kusema kwa sasa huko zenj elimu ni bure...nimejaribu kusikiliza vyombo vya habari jana na leo,sijasikia lolote kuhusu hii kitu, so mwenye undani wa hii kitu hembu atujuze...!!