Hivi hii si laana kwa diamond platnumz?

Hivi hii si laana kwa diamond platnumz?

haya mambo yalikuwa yanafanyika kwa siri ila siku hizi kila kitu hadharani.....loh hata ukifika kwa mumeo anaona huna jipya.
 
Hachelewi kurudi ila anataka kila mtu afikirie Toba na apeleke Rehema kwa Yesu.
 
Sasa laana kwa Diamond kivipi? au yeye ndiye aliyeandaa hii show?. Mimi naona watu mngeanza kusema kuwa laana ya kanga moko na sio sahihi kucreat tention kupitia Diamondi.
 
Sasa laana kwa Diamond kivipi? au yeye ndiye aliyeandaa hii show?. Mimi naona watu mngeanza kusema kuwa laana ya kanga moko na sio sahihi kucreat tention kupitia Diamondi.
Ilikua kwenye show yake huko Bukoba.
 
Subiri Kikao cha Bunge kianze kule Dodoma, Burudani za laana zote zinahamia huko, hii ina maana kuwa baadhi ya walioko kule mjengoni wanapenda hizo burudani kwa hakika!
 
I felt nauseous just looking at them.
I have nothing against women who decide to strip for money (it is their choice)
ila sasa hii imekaa vipi sijui. Porn si porn, striptease si striptease,
very degrading and insulting for women. Do they do it sababy ya umaskini?
au they are addicted to something only the producer can provide?
are their relatives kept hostages and in danger of being executed
iwapo wataamua kutocheza? yani sielewi kabisa.
It is unfortunate Diamond kakubali kucheza jukwaa moja na hawa wadada.
 
I felt nauseous just looking at them.
I have nothing against women who decide to strip for money (it is their choice)
ila sasa hii imekaa vipi sijui. Porn si porn, striptease si striptease,
very degrading and insulting for women. Do they do it sababy ya umaskini?
au they are addicted to something only the producer can provide?
are their relatives kept hostages and in danger of being executed
iwapo wataamua kutocheza? yani sielewi kabisa.
It is unfortunate Diamond kakubali kucheza jukwaa moja na hawa wadada.

Watu wengine nashindwa kuwaelewa, jamani kila binadamu yupo responsible kwa matendo yake mwenyewe. Akiamua ku strip tease ni yeye hajamdhalilisha mtu yeyote, akiamua kuvaa ninja kwenye joto la 40 degree C ni yeye hajamfedhehesha mtu yeyote. We are living in a free society kila mtu aishi apendavyo kwa mujibu wa katiba.
 
Watu wengine nashindwa kuwaelewa, jamani kila binadamu yupo responsible kwa matendo yake mwenyewe. Akiamua ku strip tease ni yeye hajamdhalilisha mtu yeyote, akiamua kuvaa ninja kwenye joto la 40 degree C ni yeye hajamfedhehesha mtu yeyote. We are living in a free society kila mtu aishi apendavyo kwa mujibu wa katiba.
Kwani mi nimesema ni makosa? soma tena nilichoandika.
nimesema mi siwaelewi. Nilipofika mbali kabisa nilisema kua
[IMO] it is degrading and insulting for women.
Kama wanaona poa kwao waendelee tu.
I just wanted to know what is their motivation.
pressure, money, coercion?
 
Back
Top Bottom