Hivi hii offer nitasalimika kweli.....!

Hivi hii offer nitasalimika kweli.....!

Kabla hujaenda huko njoo kwangu kwanza nikufanyie massage, uone kama unasalimika, then ndio uamue kama unakubali au unakataa ofa!!! LOL!
 
Kuna mahali nimepewa offer ya Massage kesho Ijumaa, sijui inakuwaje hiyo makitu.
Mwenye uzoefu tafadhali, nisije pata kesi ya kubaka mie........................................LOL

You are lucky man mkuu!
 
Ukibaka kwa kinga adhabu inaponguzwa...

By the way, aliyekwambia masaji itafanyiwa na mwanamke ni nani??
Mabwabwa yana mikono laini siku hizi! Shaurilo.


Wanaofanya masaji ni wadada na nilipewa offer hiyo na owner wa hiyo sehemu kama vile shukrani baada ya kumsaidia mambo flani flani....
 
Nenda kapunguze stresss tena nenda pale AZURA Mikocheni, safi kabisaaaaa. Ukifika wavua nguo zoteeeeee!!!!!!!!!!! Wakandwa hadi misuli ya makalio, manake nyie mnaodrive na kushinda mmekaa ofisini, hali ya eneo hilo inakuwa si shwariii. Chezeya MAFUTA YA MZEITUNI NA MNYONYO NYIEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!


Hiyo makitu naenda kufanyiwa huko Masaki uzunguni bana.....
lakini kama ni kuvua nguo zote , itabidi zoezi liahirishwe....LOL
 
Kabla hujaenda huko njoo kwangu kwanza nikufanyie massage, uone kama unasalimika, then ndio uamue kama unakubali au unakataa ofa!!! LOL!

Wewe utanibaka nadhani...
 
Kwanini nimpe what's in it for me? Halafu mimi sijui fanya masaji

Rat massage.jpg Rat massage.jpg

hhahahah Jifunze kwa hawa..
 
No, sitakubaka, nitakupa experience ya massage kidogo tu! Wewe si hujui?
 
Mzee Mtambuzi, chondechonde kabla ya kwenda huko kumbuka kutuwekea hapa jukwaani ile kitu ya Ijumaa! Usije ukanogewa huko kwenye masaji ukasahau!!!
 
We Mwanaume tulia na Mama Ngina ulee mtoto acha kuzurula hata maumivu hayajakwisha ushaanza kutoka na kumwacha peke yake ndani
 
nenda kaungame dhambi zako zote, ili ukitoka kwenye massage uje na mpya
 
  • women hufanyiwa massage na straight men
  • men huwanyiwa massage na straight women

Kwahiyo siwezi kufanyiwa massage na mwanamke aliyepinda2 (hayuko straight) !!!!:confused2:
 
Wanaofanya masaji ni wadada na nilipewa offer hiyo na owner wa hiyo sehemu kama vile shukrani baada ya kumsaidia mambo flani flani....
Huyo owner Hana asante nyingine? Waambie wakufanyie massage ya miguu na mikono na kichwa.......au mwambie owner uende na mama ngina, si katoka kujifungua? Utakuwa bomba sana
 
Duuhh!! teh teh, cjajua huyo jamaa aliomba hii offa au lipewa tu? me namshauri kama mazingira ni ya nyumbani basi aende kwa kushtukiza eiza kuwahi kufika na kuwahi kutoka au kuchelewa kufika na kuchelewa kuondoka au hata kubadili siku ya offa ili kuvuruga mood/shauku ya mtoa offa. akifanya hivi pengine anaweza kunusurika kabisa au akapata mazara kidogo, vinginevyo kazi unayo mkuu!
 
Kuna mahali nimepewa offer ya Massage kesho Ijumaa, sijui inakuwaje hiyo makitu.
Mwenye uzoefu tafadhali, nisije pata kesi ya kubaka mie........................................LOL

Hapo hausalimiki hata iweje, achana nayo!!!
 
duh! penye miti hapana wajenzi. tubadilishane niende mimi. Yaani hapo mimi naenda na akili za wanzuki. mia
 
Back
Top Bottom