Hivi hii ni aina gani ya uigizaji?

Hivi hii ni aina gani ya uigizaji?

heeeee makubwa hivi huyu
mzee ezekiel yupo?na kama yupo
anavumiliaje upumbav huu,
hivi ana mpenzi wa ukweli?
kama anaye anavumiliaje
ualshabaab huu
kanumba ni mzima kabisaaaaa?
kama yes anawezaje kuvmilia
kuona hiyo steka nono
namna hii HAIWEZEKANI KWA KWELI
View attachment 43470
unt ezekiel mushauri wa ukweli na
 
jamani hebu tuwe wakweli kidogo kama tumesha wahi kuona titanic wakati de'caplio alipokua anamchora yule dada pale kwenye meli unajua yule sister alichojoa nguo ki ukweli mazeeee...! na mbona movie tuliipendaaa..!? tatizo la wabongo kwenye movie ni kwamba yani unakuta actor haonyeshi real life akiwa anashoot frame zile..! unatakiwa uwe unaonyesha maisha halisi..! unawakuta wabongo yani anakua anajishtukia kabisa kwamba yupo mbele ya camera..! sasa acting gani hizo jamani..? kama tumeamua kuingia tuingie kikweli na tuwe na madirector wa ukweli jamani hata kama ikiwezekana tuwachukue hata wakina mel gibson hukoo ili waje watufundishe mambo yanavyokwenda..! ila kibongo utakuta main actor ndio huyo huyo director ndio huyo huyo script writer yani mambo yote ni yeye na unategemea movie itoke vizuri waaapi.....?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom