Hivi hii ni aina gani ya uigizaji?

Hivi hii ni aina gani ya uigizaji?

Joined
Sep 12, 2011
Posts
14
Reaction score
3
images[1].jpg
Huyu ni kanumba na aunt ezekiel mushauri wa ukweli jamaa anachunguli mbaka kunako? ndo mila na desturi za MTZ!
 
Huu unaitwa mshazari shooting halafu lazima uwe umevaa miwani
ili ishu uione kupitia giza kidogo maana......
 
ila jamaa noma kuchungulia hai kutosha kataka kupima joto kuangalia centgrade zikoje, to me i can see it is a shame.
 
Its shame indeed! Tunajidhalilisha wenyewe akina dada jaman, huo si utamaduni wetu, radha yoote inaisha.tuache hayo mambo ya kujianika uigizaji usiwe ndo excuse!
 
View attachment 43470
Huyu ni kanumba na aunt ezekiel mushauri wa ukweli jamaa anachunguli mbaka kunako? ndo mila na desturi za MTZ!

kisa cha kumtia majaribu mkaka wawatu ,aweza kusahau ata maneno alopangiwa kwenye hiko kiscript jamani loh! Madirector na watunzi wa hizi bongo move wanawajibika katika huu uaribuji wa maadili ya mtanzania! Tujirekebishe muda bado upo.
 
Huu unaitwa mshazari shooting halafu lazima uwe umevaa miwani
ili ishu uione kupitia giza kidogo maana......

ha ha ha! Hebu usinivunje mbavu jamani! Akati ni sijapenda tunavo jidhalilisha!
 
Uigizaji wa FILAMU hauwezi kuendena na MILA NA DESTURI za MTANZANIA! Hivi ni vitu viwili tofauti kabisa... Kwahiyo kama tumeridhia kuigiza filamu then turidhie kufuta the so called mila na utamaduni wetu... Over & Out
 
madirector jamani ndo haohao utakuta director yeye,producer yeye,editing yeye ulaji utafanyaje kijana anajichukulia kiulainiiii kisa director mabinti jiadhali na hawa watu tafuteti shughuli nyingine jamani acheni kujidhalilisha
 
mke wangu simruhusunkuigiza kabisa.bure nife njaa kuliko hela atakayolipwa nile.
 
Wanaamini kuwa kujidhalilisha ndo uigizaji wenyewe. Wote ni wapumbavu tu.
 
Hata kama ni umaarufu sio kwa namna hii jamani, bila na desturi za tz haziruhusu ivi.

Na c kila kitu cha uiga jamani
 
sema wote hao ni wahuni awaangalii ata movie za wenzetu yana ukiwaangalia hapo utafikiria wana act ex movies na hao ma director ni wapumbavu
 
Uigizaji wa FILAMU hauwezi kuendena na MILA NA DESTURI za MTANZANIA! Hivi ni vitu viwili tofauti kabisa... Kwahiyo kama tumeridhia kuigiza filamu then turidhie kufuta the so called mila na utamaduni wetu... Over & Out

Mkuu hapo ni kweli kama tumeamua kuigiza sinema lazima utamaduni ukae pembeni labda waigize za misituni kama akina komando kipensi. Nashut down
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom