Hivi bi'mkubwa,hapo Mkuranga upo pande zipi road au upo ndani ndani kabisa .......... Maana nataka nije nikupe hi,maana ndio njia yangu hiyo.Huko ndiyo kusomea ujinga.
KM 22 kutoka Mkuranga mjini kama unaenda Kisiju, uliza kwa Mkanada. Lakini kwa sasa sipo, nakula barafu tu, In sha Allah baada ya siku kumi ntakuwa Mkuranga.Hivi bi'mkubwa,hapo Mkuranga upo pande zipi road au upo ndani ndani kabisa .......... Maana nataka nije nikupe hi,maana ndio njia yangu hiyo.
KM 22 kutoka Mkuranga mjini kama unaenda Kisiju, uliza kwa Mkanada. Lakini kwa sasa sipo, nakula barafu tu, In sha Allah baada ya siku kumi ntakuwa Mkuranga.
Nikupe hongera tu,maana watu wa maeneo hayo wana miliki ma hekari ya ardhi,naamini na wewe una booooooooonge la mbuga.KM 22 kutoka Mkuranga mjini kama unaenda Kisiju, uliza kwa Mkanada. Lakini kwa sasa sipo, nakula barafu tu, In sha Allah baada ya siku kumi ntakuwa Mkuranga.
Nikupe hongera tu,maana watu wa maeneo hayo wana miliki ma hekari ya ardhi,naamini na wewe una booooooooonge la mbuga.
Aiseee hongera sana, mimi nina vieka kadhaa Mwarusembe na kule Kimanzichana nina vieka kadhaa pia,dah ila wewe kiboko.Sina mbuga, nna kama eka 200 tu.