kimpango
JF-Expert Member
- Apr 24, 2011
- 600
- 717
Nilikuwa natafakari kuhusu biashara ya uuzaji wa binadamu ambayo inalalamikiwa na kulaaniwa vikali nikajiuliza hivi malaya wakijiuza sio biashara ya binadamu, kama jibu ni yes huku kwetu hakuna? Ok mtu akipewa hela ahamie Chama kingine je huko nako ni kujiuza ? Na kama jibu ni yes, je ni sawa na malaya wanavyojiuza? Je pia nayo ni biashara ya binadamu? Je ina madalali kama biashara nyingine? OK if yes huku kwetu biashara ya uuzaji binadamu kwa kujiuza /au kuuzwa ipo /haipo? . Matokeo ya omo ukichanganya na maji inaruhusiwa
/
/