Hivi hii hali ni ya kawaida?

Passed

JF-Expert Member
Dec 15, 2017
561
156
Nilianza chuo safi ila hali ilibadilika ghafla sijui kama ni hali ya kimaisha au kuna kitu kingine imefika stage roho inauma muda wote niache chuo!

Nimekuwa wa kuhama hama mara nikae hapa nitoke mara pale yaani nimekuwa ni mtu wa kuangaika kimawazo na hali inachachamaa zaidi inapokalibia mitihani yaani nakuwa kama nimechanganikiwa.

Nashika daftar naacha nashika daftar nafunua tu sisomi au narudisha tena kwenye mkoba na hii hali tangu imeanza hamna siku nilopumzika hata nikirudi nyumbani likizo ule moyo wa kuacha chuo upo pale pale je ni nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hiyo hali ilinipata nilipofanya pepa ya kwanza first year test nikapata 3/20. Ila iliisha baada ya kujichanganya na kugundua sio ishu saana, chuo unatakiwa kutopanic hata kama mambo hayaendi vizuri baadae huwa yanajiset.

usikate tamaa
 
hiyo hali ilinipata nilipofanya pepa ya kwanza first year test nikapata 3/20.
Ila iliisha baada ya kujichanganya na kugundua sio ishu saana, chuo unatakiwa kutopanic hata kama mambo hayaendi vizuri baadae huwa yanajiset.

usikate tamaa
Mi mitihan nafaul san na kama chuo wangekuw wanapanga matokeo bas ningewez kuwa wa kwanza,au wa pili kwasab tunavyosainishwa,course work nasain wa kwanza,au wa pili na wanafunz tupo 50

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom