Hivi hii Hali inanitokea mimi tu au na wengine

Hivi hii Hali inanitokea mimi tu au na wengine

tunapishana na demu mkali huwa nakosa hata confidence ya kumsalimia au hata nikimsalimia sauti haitoki ila kwa wanawake wakawaida hii Hali huwa haitokei, hata nikiwa nasafiri ikitokea nimekaa na demu mkali naweza nikakaa nae tusizungumze chochote zaidi ya salamu,

Fanya hivi. Ukiona demu mkali na umeingiwa na hofu, fyonza konyagi chapachapi, baada ya kama dakika 10 mtokee. Yaani utamuona wa kawaida.







Ushauri huu usiufuate!
 
habari wanajamiiforums wote, mimi ni kijana wa kiume wenye age 25s' Mara nyingi nikiwa kwenye mizunguko yangu ikatokea tunapishana na demu mkali huwa nakosa hata confidence ya kumsalimia au hata nikimsalimia sauti haitoki ila kwa wanawake wakawaida hii Hali huwa haitokei, hata nikiwa nasafiri ikitokea nimekaa na demu mkali naweza nikakaa nae tusizungumze chochote zaidi ya salamu, wakuu ili tatizo linanipa shida Sana hasa katika masuala ya wahusiano naonekana Kama mtu mwenye dharau au ninayejisikia nifanyaje niepukane na hili ,tatizo linaniathiri Sana maisha yangu Msaada tafadhali
hata mimi niko hivo mkuu
 
Sasa kutokuongea na mademu wakali wewe umekuathiri nini mkuu??
 
Hahahah kuna ukweli kwa mbali, demu mzuri obvious utaona wa gharama. Hata kumsogelea huwezi kama huna hela ila pia ukiwa na hela unakuwa na confidence sana kuwa mtihani wowote atakaokupa utaushinda. Kama outings, saluni na mizinga mingine.

Sio siri mi nikiwa na hela ndefu hata njaa huwa siskii najikuta nimepitiliza mlo tu.
exactly
kwanza Pesa huwa inadesturi yakukufnya uvimbe ..yaani unajiamini kama T.berg
kwakuwa unajuafika kuwa lolote litakalojitokeza bhasi litakutana na jeuri ya pesa
 
uwe unagonga konyag kabla ya kuenda kukutana na madem wakali.
 
habari wanajamiiforums wote, mimi ni kijana wa kiume wenye age 25s' Mara nyingi nikiwa kwenye mizunguko yangu ikatokea tunapishana na demu mkali huwa nakosa hata confidence ya kumsalimia au hata nikimsalimia sauti haitoki ila kwa wanawake wakawaida hii Hali huwa haitokei, hata nikiwa nasafiri ikitokea nimekaa na demu mkali naweza nikakaa nae tusizungumze chochote zaidi ya salamu, wakuu ili tatizo linanipa shida Sana hasa katika masuala ya wahusiano naonekana Kama mtu mwenye dharau au ninayejisikia nifanyaje niepukane na hili ,tatizo linaniathiri Sana maisha yangu Msaada tafadhali
njoo huku ujifunze bro unachelewa


mnapitwa hukuuu mjeee kuona wenzenu wanavyofumaniwaa STORY: FUMANIZI LA UKUBWANI


mje na huku mjue jinsi ya kutongozaaa Stori: Jinsi ya Kumtongoza Mwanamke
 
Tatizo pesa tafuta pesa tatizo litaisha lenyewe
pesa kivipi mkuu sijakuelewa
nimecheka sana jaman !yaan dah ! aisee! umenikumbusha kitu
Kwani kima chako cha mshahara ni kipi?
Ukiwa nazo huwa inakuwa kinyume chake.watakuwa wanakosa confidnce wao
hahahaha...coment zingine raha sana..
We utakua mshamba labda hujazoea mademu wazuri!

Tena mm naonaga mademu wazuri ndo tupo poa sana yaani no mashauzi[emoji85] [emoji85]
uwe unagonga konyag kabla ya kuenda kukutana na madem wakali.
mnapitwa hukuuu mjeee kuona wenzenu wanavyofumaniwaa STORY: FUMANIZI LA UKUBWANI


mje na huku mjue jinsi ya kutongozaaa Stori: Jinsi ya Kumtongoza Mwanamke
 
Hahahah kuna ukweli kwa mbali, demu mzuri obvious utaona wa gharama. Hata kumsogelea huwezi kama huna hela ila pia ukiwa na hela unakuwa na confidence sana kuwa mtihani wowote atakaokupa utaushinda. Kama outings, saluni na mizinga mingine.

Sio siri mi nikiwa na hela ndefu hata njaa huwa siskii najikuta nimepitiliza mlo tu.
Hahaaa hilo la njaa ni kweli mkuu
 
N
We utakua mshamba labda hujazoea mademu wazuri!

Tena mm naonaga mademu wazuri ndo tupo poa sana yaani no mashauzi[emoji85] [emoji85]
nije DM au hapa hapa mkuu!
 
Back
Top Bottom