Kraftwerk
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 227
- 321
Habari wana JF.
Twende moja kwa moja kwenye mada na kuomba ushauri juu ya hili. Kuna hali inanitokea si ya kawaida nikiw mwnye hasira sna ni mwenye kutetemeka na kuhisi bard haswa.
Nilikuja kugundua hii hali nikiwa n miaka 23 baada ya kuachwa na mwnamke niliyempnd na kumthamn kwa kila hali na kuwa na mwnaume mwengine. Hii hali inanitokea hasa usiku nikiwa nimetulia kuwaza kuhs yeye.
But rn hata biashara zang zikiwa haziend vizur au kukumbwa na maden hii hali hujurudia hasa kipnd cha usku nikitaka kulala.
Kama kuna mtu aliwah kupitia hii hali au anaewez kujua tatz ni nini? NAOMBA USHAUR JUU YA HILI.
Twende moja kwa moja kwenye mada na kuomba ushauri juu ya hili. Kuna hali inanitokea si ya kawaida nikiw mwnye hasira sna ni mwenye kutetemeka na kuhisi bard haswa.
Nilikuja kugundua hii hali nikiwa n miaka 23 baada ya kuachwa na mwnamke niliyempnd na kumthamn kwa kila hali na kuwa na mwnaume mwengine. Hii hali inanitokea hasa usiku nikiwa nimetulia kuwaza kuhs yeye.
But rn hata biashara zang zikiwa haziend vizur au kukumbwa na maden hii hali hujurudia hasa kipnd cha usku nikitaka kulala.
Kama kuna mtu aliwah kupitia hii hali au anaewez kujua tatz ni nini? NAOMBA USHAUR JUU YA HILI.