Hivi hii Hali inanitokea mimi tu au na wengine

Hivi hii Hali inanitokea mimi tu au na wengine

CUBICBOY

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2012
Posts
323
Reaction score
258
habari wanajamiiforums wote, mimi ni kijana wa kiume wenye age 25s' Mara nyingi nikiwa kwenye mizunguko yangu ikatokea tunapishana na demu mkali huwa nakosa hata confidence ya kumsalimia au hata nikimsalimia sauti haitoki ila kwa wanawake wakawaida hii Hali huwa haitokei, hata nikiwa nasafiri ikitokea nimekaa na demu mkali naweza nikakaa nae tusizungumze chochote zaidi ya salamu, wakuu ili tatizo linanipa shida Sana hasa katika masuala ya wahusiano naonekana Kama mtu mwenye dharau au ninayejisikia nifanyaje niepukane na hili ,tatizo linaniathiri Sana maisha yangu Msaada tafadhali
 
Tatizo pesa tafuta pesa tatizo litaisha lenyewe
Hahahah kuna ukweli kwa mbali, demu mzuri obvious utaona wa gharama. Hata kumsogelea huwezi kama huna hela ila pia ukiwa na hela unakuwa na confidence sana kuwa mtihani wowote atakaokupa utaushinda. Kama outings, saluni na mizinga mingine.

Sio siri mi nikiwa na hela ndefu hata njaa huwa siskii najikuta nimepitiliza mlo tu.
 
Asante kwa ushauri mi nilihisi nina tatizo jambo ili lilikuwa likinikosesha amani Sana
Kawaida tu ila upunguze sasa ukija Rwanda si utaumwa maana mitaa yote imejaa vitu mnono mnono tu
 
Hahahah kuna ukweli kwa mbali, demu mzuri obvious utaona wa gharama. Hata kumsogelea huwezi kama huna hela ila pia ukiwa na hela unakuwa na confidence sana kuwa mtihani wowote atakaokupa utaushinda. Kama outings, saluni na mizinga mingine.

Sio siri mi nikiwa na hela ndefu hata njaa huwa siskii najikuta nimepitiliza mlo tu.
Hii ni kweli kabisa alieleta pesa ndo mchawi wa ukweli kuna mshkaji wangu hasipokuewa na hela huwa hatongozi haijalishi demu wa aina gani ila akiwa nazo uwa anapoiga misele tu mtaani ili apate madem wa kutongoza
 
Hii ni kweli kabisa alieleta pesa ndo mchawi wa ukweli kuna mshkaji wangu hasipokuewa na hela huwa hatongozi haijalishi demu wa aina gani ila akiwa nazo uwa anapoiga misele tu mtaani ili apate madem wa kutongoza
Mpunga ndio msema kweli aisee,
 
Hahahah kuna ukweli kwa mbali, demu mzuri obvious utaona wa gharama. Hata kumsogelea huwezi kama huna hela ila pia ukiwa na hela unakuwa na confidence sana kuwa mtihani wowote atakaokupa utaushinda. Kama outings, saluni na mizinga mingine.

Sio siri mi nikiwa na hela ndefu hata njaa huwa siskii najikuta nimepitiliza mlo tu.


nimecheka sana jaman !yaan dah ! aisee! umenikumbusha kitu
 
Kwani kima chako cha mshahara ni kipi?
Ukiwa nazo huwa inakuwa kinyume chake.watakuwa wanakosa confidnce wao
 
We utakua mshamba labda hujazoea mademu wazuri!

Tena mm naonaga mademu wazuri ndo tupo poa sana yaani no mashauzi
 
Back
Top Bottom