mgen
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 22,631
- 8,417
Nchi ya Malaysia wao walikuwa wanachimba tin. Katika kutunza mazingi wakapanda michikichi kwa wingi. Sasa mining imekwisha wanavuna chikichi na kuuza mafuta ya mawese dunia nzima.
Mkuu, heri ya wenzetu, sie tutashindwa hata kupata buku jero ya kufukia hayo mashimo! Ndipo wajukuu zetu watakapo fukua makaburi yetu na kuchuku mafuu ya vichwa vyetu na kupeleka maabara na kuyapima kama tuliku kweli binadamu au tulikuwa mithili ya manyani fulani tu! Hiyo siku ipo.