Hivi haya maisha mpaka lini jamani?

Hivi haya maisha mpaka lini jamani?

Umemsahau MUNGU.

Sent from my radio using JamiiForums mobile app
 
Tena afadhali ww bado upo kihom boy , no bills, msosi mezan uhakika.
 
Hujachelewa, njoo ujasiliamalini,, hakika utaogopa kuajiliwa coz matunda ni murua usipime ,,,huo muda Wa kulalamika utaujutia tafta kitabu cha T Harv eker kinaitwa secret of millionaires mind,,,,hutajutiaa ukinaliza kusoma kwa wiki nzima,,,,ingia ata eBook au kwingneko nunua online

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
 
Kama maisha magumu huko,njoo huku kwenye ukichaa,huku kila kitu ni cha kuokota tu.
 
pole sana ilinichukua pia miaka miwili toka nimalize chuo mpaka kupata kazi kikubwa usivunjike moyo na kumuomba utapata hata bila kushikwa mkono.

Sent from my TECNO-L5 using JamiiForums mobile app
 
pole sana ilinichukua pia miaka miwili toka nimalize chuo mpaka kupata kazi kikubwa usivunjike moyo na kumuomba utapata hata bila kushikwa mkono.

Sent from my TECNO-L5 using JamiiForums mobile app
Ahsanteee sana mkuu ushauri wako naufanyia kazi aiseee
 
Hujachelewa, njoo ujasiliamalini,, hakika utaogopa kuajiliwa coz matunda ni murua usipime ,,,huo muda Wa kulalamika utaujutia tafta kitabu cha T Harv eker kinaitwa secret of millionaires mind,,,,hutajutiaa ukinaliza kusoma kwa wiki nzima,,,,ingia ata eBook au kwingneko nunua online

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
Owkey ngoja nijaribu mkuu
 
Pole sana, ongeza juhudi katika sala huku ukijiongeza kwa kujituma hata kwa kufungua Tuition kwa bei nafuu, naamini ipo siku yako tu ....nawe utajaariwa
 
803c5b7262a498fb67fa93545f8e2152.jpg


Mkuu you only fail when you stop trying, when you give up is when you end your career.

Halafu sio lazima uajiliwe ndio ufanikiwe , matajiri wote wakubwa unao waona asilimia kubwa hakuna walioajiliwa, we only get 24 hrs the difference between successful and unsuccessful people is only a choice of giving up or holding on

Once Erick Thomas said " If opportunity don't knock build a door"

Aliko Dangote
 
Pole sana jombaa usikate tamaa me nilikutana hali kama hiyo nilipo anza kuingia kwenye soko la ajira baada ya kuangaika sana nilicho amua kufanya niliweka ma cv kabatini nikajiingiza kwenye kazi ndogondogo roho ilikua inaniuma kwakua watu niliokua nafanya hizo kazi hata shule hawajaenda lakini nashukuru mungu sasa hivi sitamani kuajiriwa bali naweza kumuajiri mtu don't give up..!!
 
Pole sana, ongeza juhudi katika sala huku ukijiongeza kwa kujituma hata kwa kufungua Tuition kwa bei nafuu, naamini ipo siku yako tu ....nawe utajaariwa
Ahsante sana kwa ushauri mzuriiii.. Big up mkuu
 
Pole sana jombaa usikate tamaa me nilikutana hali kama hiyo nilipo anza kuingia kwenye soko la ajira baada ya kuangaika sana nilicho amua kufanya niliweka ma cv kabatini nikajiingiza kwenye kazi ndogondogo roho ilikua inaniuma kwakua watu niliokua nafanya hizo kazi hata shule hawajaenda lakini nashukuru mungu sasa hivi sitamani kuajiriwa bali naweza kumuajiri mtu don't give up..!!
Ushauri mzuriiii sana mkuu naunga mkono hoja kwa 100 asilimia
 
Back
Top Bottom