Angalia haya mgazeti na habari zake, je vinaruhusiwa kuchapishwa humu? nijibu kama vinaruhusiwa niwe nawaletea maana wengi wenu mnashindwa kuyanunua kuogopa aibu,
MI ningeshauri usilete humu kwa sababu haihitaji uwe na degree kuweza kujua vinavyoandikwa humo achilia mbali ya kama vinaukweli ila aina ya uandishi ndio unakera..(anyway ndio maan halisi ya udaku)... sasa na fikiri si busara kuleta habari zao humu kwa misingi ya kuzijadili ( incase kama kuna habari very sensitive which is obviously itachapishwa na magazeti mengine pia)...... nafiki JF imelenga zaidi kwenye maswala ambayo ni very crucial kwa ajili ya nchi hii na kizai chetu na hata kijacho.. sio maswalal ya nani hajui kufanya mapenzi na nani kaliwa ndogo..au nani kafulia.....
USIYALETE HUMU KAKAK KWA KIASI FLANI ITABOA... ni maoni yangu tu lakini
************************************ UKIWAAMBIA WATU WAKUSANYE MATATIZO YAO KATIKA FUNGU MOJA... KISHA WAGAWANE SAWA KWA SAWA YALE MATATIZO ....BASI KILA MTU ATACHUKUA LILILO LAKE TU KWA KIASI KILE ALICHOWEKA...so dnt expect sm one to solve your prbs for you.. FIND A WAY...TRYING means "I cant" just DO IT
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.