Hivi hawakujua huyu Mama atakuja kutuletea matatizo makubwa hivi? Wapi Mabeyo?

Hivi hawakujua huyu Mama atakuja kutuletea matatizo makubwa hivi? Wapi Mabeyo?

Kuboma

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2025
Posts
1,466
Reaction score
2,579
Yaani ndugu zangu nguvu aliyokuwa nayo Mama samia na Kikwete ni tofauti na tunavyofikiri,tukiishindwa kuikomboa hii inchi tunaenda kuwa kama Congo,hebu fikiri linaretwa jeshi kutoka inje ili kuja kuuwa Raia wanaoandamana ambao ni Watanganyika,
Uongozi wa juu umejaa Wazanzibar wenye damu ya Omani ndiyo wanaosema Tanzania kuko shwari,Waarabu ndiyo haohao walioingia mikataba ya mamilioni ya pesa na Serikari ya Mama samia,Naomba kama wewe unadamu ya Tanganyika sema hapana hatukubariani ,hebu fanya chochote kwa ajili ya kuikomboa Tanganyika siyo Tanzania tena,yuko wapi Mabeyo ndiyo aliyetusababishia yote haya r.i.p Ndungaye hata kama alikuwa na mapungufu yake nazani kama angekuwa mzima leo hii tungekesha kulia naye,tunauzwa jamani tunauzwa tena kweupe
 
Yaani wenyewe kwa wenyewe wameshazungukana hata ukiongea labda unajikuta huna cheo,na kama ni Mtanganyika una cheo ulishachukua pesa za Waarabu sasa utasema nini?
Jamani Askari polisi,Wanachama wa CCM,vyombo vya habari mustuke hii ni Tanganyika ya kwetu na wanaokufa ni watanganyika lakini anayejibia ni Mzanzibar hivi tuna akili kweli?
 
Haya mambo ya utanganyika na ubara hii narratives sio nzuri.

Mama ni rijizi tu na genge lake lina wabara na watanganyika (tena hawa ndio wengi).

Na kuna maafisa wa usalama kutoka Zanzibar ni wazalendo kwa Tanzania na Tanganika; kuliko corrupts waliozaliwa bara.

Hussein Massoro ni mzanzibari na hakudumu muda mrefu kama DGIS kwa sababu aliweka maslahi ya nchi mbele. Vilevile kuna wanajeshi kutoka visiwani Tanzania kwanza.

Huyu mama ana genge tu la wahuni mchanganyiko wa watu wa bara na visiwani.

Lakini sio kutaka kujenga hizi narratives za chuki zisizo uhalisia, Samia na genge lake la wahuni ni isolated na sisi watanzania kwa ujumla wetu.
 
Yaani ndugu zangu nguvu aliyokuwa nayo Mama samia na Kikwete ni tofauti na tunavyofikiri,tukiishindwa kuikomboa hii inchi tunaenda kuwa kama Congo,hebu fikiri linaretwa jeshi kutoka inje ili kuja kuuwa Raia wanaoandamana ambao ni Watanganyika,
Uongozi wa juu umejaa Wazanzibar wenye damu ya Omani ndiyo wanaosema Tanzania kuko shwari,Waarabu ndiyo haohao walioingia mikataba ya mamilioni ya pesa na Serikari ya Mama samia,Naomba kama wewe unadamu ya Tanganyika sema hapana hatukubariani ,hebu fanya chochote kwa ajili ya kuikomboa Tanganyika siyo Tanzania tena,yuko wapi Mabeyo ndiyo aliyetusababishia yote haya r.i.p Ndungaye hata kama alikuwa na mapungufu yake nazani kama angekuwa mzima leo hii tungekesha kulia naye,tunauzwa jamani tunauzwa tena kweupe
Mkuu, wengine tuliposikia Mabeho anasema kuwa wao ndiyo walisimama kidete kuhakikisha kuwa katiba inafuata na Samia anaapishwa tulisikitika sana. Samia tulikuwa tunajua kabisa hana uwezo na ni fisadi anayeweza kutumia na mataifa mengine.
 
Kwa tulipofikia Wanajeshi wachukue tu Nchi bila hata order ya Mkunda.

Wa occupy TBC watangaze tu.

Kuhusu kuongozaje hilo lifuate kwa vikao baada ya kuchukua hii hatua ya kwanza.

Enough is enough
 
Haya mambo ya utanganyika na ubara hii narratives sio nzuri.

Mama ni rijizi tu na genge lake lina wabara na watanganyika (tena hawa ndio wengi).

Na kuna maafisa wa usalama kutoka Zanzibar ni wazalendo kwa Tanzania na Tanganika; kuliko corrupts waliozaliwa bara.

Hussein Massoro ni mzanzibari na hakudumu muda mrefu kama DGIS kwa sababu aliweka maslahi ya nchi mbele. Vilevile kuna wanajeshi kutoka visiwani Tanzania kwanza.

Huyu mama ana genge tu la wahuni mchanganyiko wa watu wa bara na visiwani.

Lakini sio kutaka kujenga hizi narratives za chuki zisizo uhalisia, Samia na genge lake la wahuni ni isolated na sisi watanzania kwa ujumla wetu.
Huo ndiyo ukweli ukae ukijua wametuingiza mpaka kwenye Udini lakini hatutaki tufike huko ndiyo maana utaona watu wanasema mnamuonea sababu ni Muisilamu? Yawezekana hata mimi ni Muisilamu lakini Mtume Muhammad (S.A.W) binamu yake Ally na aliyemuozeshe mtoto wake kipenzi chake Fatma amepitia katika matatizo kama haya baada tu ya kufa Mtume mpaka akaamua kujitenga na kwenda kuishi katika mji wa Kufa,nadhani Waisilamu wanaijui hii hadithi vizuri kabisa
Sawa na haya yote yanatokea baada ya kufa Magufuri yaani Wanzanzibar ni wanufaika wakubwa kupitia huyo Samia na wanafurahi sisi wabara tufe kama tulivyowauwa wao kipindi cha Mkapa,upende usipende huu ndiyo ukweli
 
Huo ndiyo ukweli ukae ukijua wametuingiza mpaka kwenye Udini lakini hatutaki tufike huko ndiyo maana utaona watu wanasema mnamuonea sababu ni Muisilamu? Yawezekana hata mimi ni Muisilamu lakini Mtume Muhammad (S.A.W) binamu yake Ally na aliyemuozeshe mtoto wake kipenzi chake Fatma amepitia katika matatizo kama haya baada tu ya kufa Mtume mpaka akaamua kujitenga na kwenda kuishi katika mji wa Kufa,nadhani Waisilamu wanaijui hii hadithi vizuri kabisa
Sawa na haya yote yanatokea baada ya kufa Magufuri yaani Wanzanzibar ni wanufaika wakubwa kupitia huyo Samia na wanafurahi sisi wabara tufe kama tulivyowauwa wao kipindi cha Mkapa,upende usipende huu ndiyo ukweli
Hao majaji wanaomnyima Lissu haki yake ni wazanzibari?

Hussein Massoro alietolewa nafasi ya DGIS kwa kukataa uharabifu wa nchi katokea wapi?

Embu achana na kazi ya kupika sumu
 
Hao majaji wanaomnyima Lissu haki yake ni wazanzibari?

Hussein Massoro alietolewa nafasi ya DGIS kwa kukataa uharabifu wa nchi katokea wapi?

Embu achana na kazi ya kupika sumu
Mimi nitabaki kama Mtanganyika na nitakufa juu ya Tanganyika yangu,Suala la Dini kwangu haliniumizi kwani Mimi mwenyewe nilikuwa mkristo na sasa hivi ni Muisilamu ila nasimamia haki siwezi kukubali upuuzi wa mashekhe wanaoniambia nikapige kura katika uchaguzi usiokuwa huru na haki kwa hiyo nasimami ukweli wangu
 
Mimi nitabaki kama Mtanganyika na nitakufa juu ya Tanganyika yangu,Suala la Dini kwangu haliniumizi kwani Mimi mwenyewe nilikuwa mkristo na sasa hivi ni Muisilamu ila nasimamia haki siwezi kukubali upuuzi wa mashekhe wanaoniambia nikapige kura katika uchaguzi usiokuwa huru na haki kwa hiyo nasimami ukweli wangu
Ukweli wako una ‘observation bias’ genge la wahuni lina watanzania wa groups zote.
 
Hivi JJ Nkunda ni wa Visiwani? Kwa ninavyojua mnadhimu mkuu wa Jeshi ni classmate wa Kombo na ni wa visiwani pia. Ndio maana JWTZ na munadhimu mkuu wao wanapata kigugumizi kutekeleza Jambo la Gen Z…
Dami nzito kuliko maji…
 
labda hata yeye alizingirwa pia, kumbuka kipindi hicho wote waliizingira tanzagiza kuanzia kenyata, m7 mpaka kivu wote walituweka mtu kati na sasa hivi unawaona wanoomtetea, ...
 
Ni mshenzi mmoja asiyejielewa.

Wanajeshi wanatakiwa kumkataa huyu mjinga kabisaaa.

Tena wanapaswa kujua samia akiendelea kuwa Rais atawashughulikia vibaya sana kwa walivyokataa kutekeleza maelekezo yake ya kuwaua Watanganyika
Hivi JJ Nkunda ni wa Visiwani? Kwa ninavyojua mnadhimu mkuu wa Jeshi ni classmate wa Kombo na ni wa visiwani pia. Ndio maana JWTZ na munadhimu mkuu wao wanapata kigugumizi kutekeleza Jambo la Gen Z…
Dami nzito kuliko maji…
 
Huu uchaguzi umetuleta Watanganyika pamoja sana kupitia hawa Gen Z wetu... sijui huyu mama atatoboaje maana kajitengenezea maaadui wengi... je ataendelea kulindwa na hao hao wanajeshi wa Uganda, Burindi , kongo , Rwanda na Msumbiji au itakuwaje? Je PSU itabadirshwa au nini? Maswa;li ni mengi... vinginevyo watu watajitolea Muhanga muda si mrefu... kwa usalama wake, aachane na hizi habari za Urais kwa sasa, afanye mambo yake ya kulea wajukuu... akina Abdul na wanu bado wako prime wanafyatua...
 
Yaani ndugu zangu nguvu aliyokuwa nayo Mama samia na Kikwete ni tofauti na tunavyofikiri,tukiishindwa kuikomboa hii inchi tunaenda kuwa kama Congo,hebu fikiri linaretwa jeshi kutoka inje ili kuja kuuwa Raia wanaoandamana ambao ni Watanganyika,
Uongozi wa juu umejaa Wazanzibar wenye damu ya Omani ndiyo wanaosema Tanzania kuko shwari,Waarabu ndiyo haohao walioingia mikataba ya mamilioni ya pesa na Serikari ya Mama samia,Naomba kama wewe unadamu ya Tanganyika sema hapana hatukubariani ,hebu fanya chochote kwa ajili ya kuikomboa Tanganyika siyo Tanzania tena,yuko wapi Mabeyo ndiyo aliyetusababishia yote haya r.i.p Ndungaye hata kama alikuwa na mapungufu yake nazani kama angekuwa mzima leo hii tungekesha kulia naye,tunauzwa jamani tunauzwa tena kweupe

Huyo Mabeyo alifanya kosa kubwa sana na ana mchango mkubwa kwa hali mbaya tulipofikia sasa hivi.
 
Huo ndiyo ukweli ukae ukijua wametuingiza mpaka kwenye Udini lakini hatutaki tufike huko ndiyo maana utaona watu wanasema mnamuonea sababu ni Muisilamu? Yawezekana hata mimi ni Muisilamu lakini Mtume Muhammad (S.A.W) binamu yake Ally na aliyemuozeshe mtoto wake kipenzi chake Fatma amepitia katika matatizo kama haya baada tu ya kufa Mtume mpaka akaamua kujitenga na kwenda kuishi katika mji wa Kufa,nadhani Waisilamu wanaijui hii hadithi vizuri kabisa
Sawa na haya yote yanatokea baada ya kufa Magufuri yaani Wanzanzibar ni wanufaika wakubwa kupitia huyo Samia na wanafurahi sisi wabara tufe kama tulivyowauwa wao kipindi cha Mkapa,upende usipende huu ndiyo ukweli
Wewe jamaa ni mjinga sana,watu kama wewe mnaoingiza ukabila na udini muda huu,mnatakiwa mpigwe vita na kila mtu,unafikiri hao Gen Z waliopo mitaani hakuna waislamu?

Huu ujinga wako wakuingiza udini unafikiri ndio utaunganisha watu muda huu? Hizi chuki zako za ukabila na udini unafikiri zitajenga au zitawagawa watu muda huu?

Kama huna cha kuchangia ni bora ukae kimya,hii ni issue ya nchi sio issue ya dini fulani au kabila fulani.
 
Daaaah!🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
 
Huo ndiyo ukweli ukae ukijua wametuingiza mpaka kwenye Udini lakini hatutaki tufike huko ndiyo maana utaona watu wanasema mnamuonea sababu ni Muisilamu? Yawezekana hata mimi ni Muisilamu lakini Mtume Muhammad (S.A.W) binamu yake Ally na aliyemuozeshe mtoto wake kipenzi chake Fatma amepitia katika matatizo kama haya baada tu ya kufa Mtume mpaka akaamua kujitenga na kwenda kuishi katika mji wa Kufa,nadhani Waisilamu wanaijui hii hadithi vizuri kabisa
Sawa na haya yote yanatokea baada ya kufa Magufuri yaani Wanzanzibar ni wanufaika wakubwa kupitia huyo Samia na wanafurahi sisi wabara tufe kama tulivyowauwa wao kipindi cha Mkapa,upende usipende huu ndiyo ukweli
Shida ni mfumo wa kuendesha siasa za nchi, hasa uchaguzi tunahitajia mfumo mpya. Kumtaja mtu mahsus kama tatizo ni kutafuta majibu mepesi. Kwa hio unadhani mgombea asingekuwa SSH ndio haki ingetendeka na yale madai ya haki za kisiasa yasingekuwepo?

Kwa upande mwingine kama huenda kugombea kwake kumeleta tija kwasababu ni wazi CCM wao wenyewe na wadau wake wa muda mrefu hawaongei lugha moja kwasasasa, na imechangiwa na yeye kuwa mgombea.
 
Back
Top Bottom