Hivi hawa watu wako wapi?Njoo tujuzane wako wapi

Wale mamonitor na viranja vipi mambo huko wizara ya mambo ya ndani?

Wale wapiga ngoma za wimbo wa Taifa/usafi/mchakamchaka na kuingia darasani,vipi mnatoa album ya ngapi kwenye band zenu?
Nalog off
Nadhan ndo wale waliorithi mikoba ya Komba
 
Hivi wale mliokuwa mnakaa chooni shuleni muda wa vipindi mnafanya kazi sasa hivi?


Hivi Vipi wale chairperson wa debates mashuleni sasa hivi hapo Shirika la utangazaji la BBC na CNN midahalo inaendaje???

Hivi wale mliokuwa mnakomaa kwenye debate mpaka macho yanakuwa mekundu kwamba Education is better than money bado mna huo msimamo au,,!


Hivi wale mliokuwa viongozi wa ulinzi vipi hapo Usalama wa Taifa mambo yanaendaje.


Ongezea uwezavyo mpaka hawa watu tuwapate
Wale waliokuwa viongozi wa chakula na kupiga watu mchinjo wakati wa kula mnaendeleaje hapo wizara ya kilimo
 
Wale mliokuwa mnabrush viatu kila siku na kuvifuta na kitambaa kila vikipata vumbi kidogo, vipi biashara ya shoeshine inaendaje huko mlipo..?
Wakifika watatujibu mkuu.

kwa sababu ndo walikuwa wanaongoza kwa usafi mashuleni
 
Back
Top Bottom