- Thread starter
- #101
Mkuu umeamua kuchanganya madesa
Mkuu umeamua kuchanganya madesa
nadhan ndo wale wanaoleta hoja bungenKwa wale mliokua kila mwalimu akiuliza swali eti mnakuwa wa kwanza kujibu kilaa siku.je hali ikoje.kwa sasa?
Hahahah,wakifika watatujuza mkuuWale wapenda mapumziko kuliko vipindi dalasani.hali yao ikoje kwa sasa
Nadhan ndo wale waliorithi mikoba ya KombaWale mamonitor na viranja vipi mambo huko wizara ya mambo ya ndani?
Wale wapiga ngoma za wimbo wa Taifa/usafi/mchakamchaka na kuingia darasani,vipi mnatoa album ya ngapi kwenye band zenu?
Nalog off
Wale wa kwenye debate education is better than money nadhan mwixho wa mwez 2taonexhana salary slip
Wale waliokuwa viongozi wa chakula na kupiga watu mchinjo wakati wa kula mnaendeleaje hapo wizara ya kilimoHivi wale mliokuwa mnakaa chooni shuleni muda wa vipindi mnafanya kazi sasa hivi?
Hivi Vipi wale chairperson wa debates mashuleni sasa hivi hapo Shirika la utangazaji la BBC na CNN midahalo inaendaje???
Hivi wale mliokuwa mnakomaa kwenye debate mpaka macho yanakuwa mekundu kwamba Education is better than money bado mna huo msimamo au,,!
Hivi wale mliokuwa viongozi wa ulinzi vipi hapo Usalama wa Taifa mambo yanaendaje.
Ongezea uwezavyo mpaka hawa watu tuwapate
Khe khe khe khe kheWale vmliokuwa viongozi Wa TYCS mashuleni maisha yanaendeleaje huko VATICAN papa hajambo
We ni miongoni mwaoKhe khe khe khe khe
Hapa sifurukuti kudadeki
hahaa.Ashukuriwe MunguTuliokuwa tunakaa bwenini/chooni muda wa class tupo na maisha yanaenda tu kupitia utumishi wa umma. THANKS GOD.
Wapo wanapambana na hali zao,nasikia ndo wasafirishaji wa maghala ya vyakula mikoaniWale waliokuwa viongozi wa chakula na kupiga watu mchinjo wakati wa kula mnaendeleaje hapo wizara ya kilimo
naona ndo wapo wanaratibu vyema mpango wa uzazi na Mh sana UmmyHaya wale viongozi wa FEMA bila shaka mambo ni mazuri hapo wizara ya afya
Sasa tusemeje mkuu??hahahaha
Wakifika watatujibu mkuu.Wale mliokuwa mnabrush viatu kila siku na kuvifuta na kitambaa kila vikipata vumbi kidogo, vipi biashara ya shoeshine inaendaje huko mlipo..?
HahahahahaWale o-level mlikua mnachomoka na misonge ya math nahitaji mnitengenezee app ya genge langu