Hivi hawa wanawake wanataka nini?

Hivi hawa wanawake wanataka nini?

Tulikotoka ni mbali, tukitazama nyuma
Asingekuwa Bwana, tusingefika hapa
Mengi tuliyoyapitia, hayakutuacha tulivyo
Haikuwa rahisi, ni mkono wa Bwana

Mengine yalikuja kama mema, mwisho ukawa mbaya, mengine yalikuja kama mabaya, kumbe yana kusudi.........

Naupenda sana huu wimbo jamani
Ndio maana nikaamua kumpa dogo dedication, sio kila kitakachokuja kwa sura nzuri mwisho wake utakua mzuri....ajiandae kwa mema na mabaya! Kumbe wewe ni mpenzoi wa gospel
 
Kwa sababu inaonekena wewe siyo real man ndo maana anakudharau, kwa nini unakuja kulia lia hapa usipoelewana na demu wako? real man hutatua tatizo, inavyoonekana hauwezi kutatua matatizo na haujui unataka nini maishani hasa kwenye swala la mahusiano ndo maana unapoteza muda na Mwanamke anayeonekena hana mapenzi na wewe.

Mimi naweza kukupa kozi jinsi ya kuwa real man, na ukifuzu hutahangaishwa na Wanawake tena, bali wao ndo watakuwa wakitafuta ushauri jinsi ya kuweza kuishi utakavyo wewe na siyo kinyume chake kama ufanyavyo sasa hivi huo ni udhaifu, na Wanawake hawapendi wanaume dhaifu na ukiendelea hivi utarudi hapa kulia tena kwamba amekumwaga.
Mkuu hebu toa hio kozi hapa ya jinsi ya kua kidume kwenye mahusiano ili wengi tufaidike
 
Back
Top Bottom