Hivi hawa wanawake wanataka nini?

Hivi hawa wanawake wanataka nini?

Huyu either alilelewa na Single mother ndo maana anajikuta kujiamini kama kote lakini Ukiona ukimpoteze anaanza kulilia bhasi kajua wewe huwezi kumuacha yani kiufupi kakuteka...!! Fanya siku moja akute msg za mwenzake mkiwa mnachat utaona heshima yakee japo mademu maneno ya shombo kawaida yao mwisho wa siku akili zikimjia hasa ukimkunaa vizuri anakaa sawa mbona..
ya message imefanya kazi kwangu mkuu.

Alikuwa anazingua sana yaani amani sipati , nkakutana na wazee kijiwe flan cha kahawa mara wakaanza kuongelea namna ya kuishi na hawa viumbe.

Nkatafuta lidem moko linalonielewaga nkaanza kulichatisha alafu text sifuti , paapa whatsapp , Nkamwomba atume nyuchi akatuma , .

Kaomba simu nkamwachiaa 😂😂😂😂 alikuwa analia hatari yaani ananiuliza nimekosa nn me kimya tuu, akanambia tuachane nkamwambia powa .

Juzi kaja nimemkaza hatari sasa hivi mapenzi motooooooooo .
 
wana jf yamenikuta kuna mwanamke nina mahusiano nae hela ya kula nampatia inshort majukumu yote ambayo anaitaji nampatia sio mchoyo kwake cha ajabu kuna kauli kaongea sijaipenda mpka saiv nafikilia nipige chini ama sipati jib,,,,kasema ivi bado hajaona mwanaume wa kuishi nae tukikaa nae ndani siwez kumlea kwakwel. nikamuuliza kama hela nakupa, mapenz tunafanya unalizika kajib ndio mpaka saiv sielew anataka nini alafu anasema hajaona bado umuhim wangu kwake nikimwambia bas kila mtu ale hamsin zake hatak kuniacha nisaidieni wadau
Sasa yeye ndio ataki au wewe hutaki kuacha
 
Huyo yupo nawewe coz unamtimizia mahitaji yake but hakupendi...kuna anempenda ila hawezi kumpata ndomana anakuganda
 
Back
Top Bottom