Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,299
njoo nyumbani basi tuyajenge?[emoji41][emoji41][emoji41]
njoo nyumbani basi tuyajenge?[emoji41][emoji41][emoji41]
Kayajenge na cute b[emoji53]njoo nyumbani basi tuyajenge?
hasira hasara, ukigoma wengine wanalilia kuko..j.ozwa[emoji23]Kayajenge na cute b[emoji53]
Achana nae huyo
Dah..una mawili tu hapo ya kuchagua..na uchague moja...ama...piga chini huyo dem ..au piga simu namba 0713 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣wana jf yamenikuta kuna mwanamke nina mahusiano nae hela ya kula nampatia inshort majukumu yote ambayo anaitaji nampatia sio mchoyo kwake cha ajabu kuna kauli kaongea sijaipenda mpka saiv nafikilia nipige chini ama sipati jib,,,,kasema ivi bado hajaona mwanaume wa kuishi nae tukikaa nae ndani siwez kumlea kwakwel. nikamuuliza kama hela nakupa, mapenz tunafanya unalizika kajib ndio mpaka saiv sielew anataka nini alafu anasema hajaona bado umuhim wangu kwake nikimwambia bas kila mtu ale hamsin zake hatak kuniacha nisaidieni wadau
kabisa
huu NDIO ushauri wa KirohombayaDah..una mawili tu hapo ya kuchagua..na uchague moja...ama...piga chini huyo dem ..au piga simu namba 0713 [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
napiga sim na mitusi et mzee babaDah..una mawili tu hapo ya kuchagua..na uchague moja...ama...piga chini huyo dem ..au piga simu namba 0713 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Kumbeeeee😂Abee
Maneno yako yanachoma sana ila yana ukweli 100%Bado yupo sokoni huyo, alichonacho sio akitakacho upo tuu kumsogezea mda siku akimuona amtakaye jiandae.
DuuuuhWewe huyo hujamwelewa. Anataka umle Tigo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dyadyaaa niniKumbeeeee[emoji23]
Nyooohasira hasara, ukigoma wengine wanalilia kuko..j.ozwa[emoji23]
Ajiongeze tu hapo. Inaonekana bidada kajiegesha tu lakin hato kaa muda mrefuBado yupo sokoni huyo, alichonacho sio akitakacho upo tuu kumsogezea mda siku akimuona amtakaye jiandae.