Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
Matokeo ya Kidato cha nne 2009
Division I + II + III = 42,627 sawa na Asailimia 17.85
Divisheni IV = 130,651 sawa na Asilimia 54.66
Divisheni 0 ( Sifuri) = 65,708 sawa na Asilimia 27.49
Najiuliza hivi hawa Zero + Four ambao ni Asilimia 82.15 Wanakwenda wapi?
Mwaka Jana tumezalisha wangapi? Mwaka Juzi Je na Je Serikali ina mkakati gani kuhakikisha Mwakani inapunguza hiyo Zero na Four
Je Baada ya Miaka Kumi tutakuwa na Taifa Gani
Division I + II + III = 42,627 sawa na Asailimia 17.85
Divisheni IV = 130,651 sawa na Asilimia 54.66
Divisheni 0 ( Sifuri) = 65,708 sawa na Asilimia 27.49
Najiuliza hivi hawa Zero + Four ambao ni Asilimia 82.15 Wanakwenda wapi?
Mwaka Jana tumezalisha wangapi? Mwaka Juzi Je na Je Serikali ina mkakati gani kuhakikisha Mwakani inapunguza hiyo Zero na Four
Je Baada ya Miaka Kumi tutakuwa na Taifa Gani