Muacheni kijana wa watu,wakati anahangaika kutafuta maisha alikuwa pekee yake sasa hivi ametoboa ndyo mnataka aishi kama mnavyotaka ninyi...huo ni ujinga!
Hahahaa hahahaaaa haha Mbavu zangu jamani
You are cursed!!Mwanaume huwa anasukwa??!Anayemsuka ndo tatizo,,,hamsuki vizuri ni anajifunza kusuka