Hivi Halotel mna shida gani?

EvilSpirit

JF-Expert Member
Jun 15, 2017
8,558
12,683
Kwa muda sasa nimekuwa ninaexperience tatizo la internet, muda mwingi network iko slow na saa nyingine kunakuwa hamna kabisa network. Imekuwa kero sana huwezi kabisa kuenjoy kusurf mtandaoni, katika dakika 10, dakika 8 internet iko down na dakika 2 ndio angalau inafanya kazi.

Hali ikiwa hivi nabashiri mtaanguka vibaya sana, kuepukana na kero hizi, suluhu ni kuachana na nyinyi, mnachukua tu hela zetu lakini hamna cha maana tunachokipata kwenu.
 
Kwa muda sasa nimekuwa ninaexperience tatizo la internet,muda mwingi network iko slow na saa nyingine kunakuwa hamna kabisa network.Imekuwa Kero sana huwezi kabisa kuenjoy kusurf mtandaoni,katika dakika 10, dakika 8 internet iko down na dakika 2 ndio angalau inafanya kazi.Hali ikiwa hivi nabashiri mtaanguka vibaya sana,Kuepukana na kero hizi,suluhu ni kuachana na nyinyi,mnachukua tu hela zetu lakini hamna cha maana tunachokipata kwenu.
mi napeluzi kama kawa labda eneo ulilopo ndo linazingua
 
halotel wako fresh sanaa kwa maeneo na maeneo
ila waongeze minara ya 4G aseee
 
Halotel kwangu wako poa sana, waliwahi kunijibu ukiona network iko chini ujue watumiaji ni wengi mno eneo hilo kwa wakati huo, na ushauri badili line yako iwe4G ili

Kama jibu lao ndio hilo basi niseme tu ni nonsense,Hata voda,airtel na mitandao mengine pia wana watumiaji wengi tu katika eneo fulani.Ukweli ni kwamba mtandao wao ni dhaifu.Kama eneo fulani lina watumiaji wengi mpaka network inazidiwa ina maada wao kama watoa hudumu hawawezi kutafuta suluhu?
 
Kwa muda sasa nimekuwa ninaexperience tatizo la internet,muda mwingi network iko slow na saa nyingine kunakuwa hamna kabisa network.Imekuwa Kero sana huwezi kabisa kuenjoy kusurf mtandaoni,katika dakika 10, dakika 8 internet iko down na dakika 2 ndio angalau inafanya kazi.Hali ikiwa hivi nabashiri mtaanguka vibaya sana,Kuepukana na kero hizi,suluhu ni kuachana na nyinyi,mnachukua tu hela zetu lakini hamna cha maana tunachokipata kwenu.
Una walaumu bure kwani network imeisharudi sawa sawa?

Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
 
halotel wako fresh sanaa kwa maeneo na maeneo
ila waongeze minara ya 4G aseee
Mkuu network kubagua maeneo ni udhaifu wa mtoa huduma,kwanini mitandao mengine popote ulipo network iko vizuri, mfano hapa nilipo voda na Airtel ziko vizuri tu, na hata ttcl, kwanini Halotel tu ndio izingue,hii maana yake Halotel ni dhaifu
 
  • Thanks
Reactions: _ID
Mkuu network kubagua maeneo ni udhaifu wa mtoa huduma,kwanini mitandao mengine popote ulipo network iko vizuri, mfano hapa nilipo voda na Airtel ziko vizuri tu, na hata ttcl, kwanini Halotel tu ndio izingue,hii maana yake Halotel ni dhaifu
kuna sehemu nilienda inaitwa babayu dodoma huko lain inayoshika ni halotel tu..
 
Mkuu network kubagua maeneo ni udhaifu wa mtoa huduma,kwanini mitandao mengine popote ulipo network iko vizuri, mfano hapa nilipo voda na Airtel ziko vizuri tu, na hata ttcl, kwanini Halotel tu ndio izingue,hii maana yake Halotel ni dhaifu
Kama kutopatikana sehemu na sehemu unaita ni udhaifu basi mitandao yote ni dhaifu maana mitandao uliyoisifia kuna baadhi ya sehemu nako haipatikani mkuu mfano hao TTCL.

Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
 
Halotel hawana shida mkuu, wewe ndie unamatatizo.
Ebu jichunguze unakosea wapi, kisha urekebishe
 
Halotel hawana shida mkuu, wewe ndie unamatatizo.
Ebu jichunguze unakosea wapi, kisha urekebishe
mi napeluzi kama kawa labda eneo ulilopo ndo linazingua
Yaan tangu nimehama Tigo unaenda mwaka sasa sijajuta kuhamia HALOTEL na hata kipindi cha cha uchaguzi internet kusumbua HALOTEL ndo mtandao pekee ulikuwa unajitahidi.

Naungama na nyinyi simu yake inatatizo ama sehemu uliopo NETWORK COVERAGE ya HALOTEL haijasambaa akumbuke ukiwa nje ya mji sio mitandao yote utapata huduma iwe VODA TIGO TTCL Au ZANTEL haijasambaa kila eneo sehemu za nje ya mji unaweza ukapata mwingne vizuri mwingne ukasumbua ndio ilivyo.
 
Yaan tangu nimehama Tigo unaenda mwaka sasa sijajuta kuhamia HALOTEL na hata kipindi cha cha uchaguzi internet kusumbua HALOTEL ndo mtandao pekee ulikuwa unajitahidi..
ukienda singida wilaya ya ikungi kijiji cha mpetu mtandao wa halotel haushiki kabsa yaani hata kupiga simu na kupokea sms mpaka upande juu ya mti
 
Halotel net yao haipo stable kwenye maeneo mengi sana

Kuna muda unaweza kutamani kuipasua simu
Ila kuna muda wanakimbiza hadi raha
 
Kinachowatesa halotel ni aina ya miundombinu yao, hizi fiber, mara kadhaa zinakatika pengine kwenye ujenzi wa mabarabara na kadhalika ndio maana ikitokea incidence kama hiyo wanakuwa weak kwakuwa kama mimemuelewa mleta mada huwa hawawi weak kwenye data tu kuna muda mnara unakufa kabisa au unakuwa low

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom