Nakubaliana na wewe. Haiwezekani Gazeti likachapishwa bila kupitia na mhariri msaidizi na baadaye mhariri mkuu. Yaani wote hawa hawakuiona hiyo headline ambayo hata layman imemstua. Hata kwenye chumba cha Habari au wachapishaji hakuna aliyeshitushwa na hiyo headline..... Kuna kitu nyuma ya hii headline. Mhalili atakuwa kesha chukua pension in advance. Siyo bure.Mpaka Gazeti linafika mtaani, top layer ya CCM hawakufamu kitu? Hii heading imeandikwa kwa makusudi kabisa wala hakuna walichokosea.
Mhariri. Siyo “Mhalili”!Nakubaliana na wewe. Haiwezekani Gazeti likachapishwa bila kupitia na mhalili msaidizi na baadaye mhalili mkuu. Yaani wote hawa hawakuiona hiyo headline ambayo hata layman imemstua. Hata kwenye chumba cha Habari au wachapishaji hakuna aliyeshitushwa na hiyo headline..... Kuna kitu nyuma ya hii headline. Mhalili atakuwa kesha chukua pension in advance. Siyo bure.
Siwaamini kabisa hawa CCM!
Alisema kweli hivyo?
Nyie mnaaminiana?Kumbe huwa hamuaminiani ehee!
Alisema kweli hivyo?
Asante. Kiswahili kina tabu zake pia.Mhariri. Siyo “Mhalili”!
Kama ni mhalili na siyo mhariri itakuwa siyo bure.Nakubaliana na wewe. Haiwezekani Gazeti likachapishwa bila kupitia na mhalili msaidizi na baadaye mhalili mkuu. Yaani wote hawa hawakuiona hiyo headline ambayo hata layman imemstua. Hata kwenye chumba cha Habari au wachapishaji hakuna aliyeshitushwa na hiyo headline..... Kuna kitu nyuma ya hii headline. Mhalili atakuwa kesha chukua pension in advance. Siyo bure.
Ujumbe umefika. Kiswahili nilipata D.Kama ni mhalili na siyo mhariri itakuwa siyo bure.
NdioNyie mnaaminiana?