Hivi Dr. Slaa alienda kusoma au masihara?

Hivi Dr. Slaa alienda kusoma au masihara?

Status
Not open for further replies.

General Mangi

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2013
Posts
15,316
Reaction score
23,186
Nikikumbuka kipindi cha mahojiano ya Dr Slaa na Tido Azam Tv huwa nacheka sana.

Dr. Aliulizwa na Tido, Marekani unakwenda kufanya nini, Dr akamjibu nakwenda kusoma, kuna vitu nimesahau hivyo nakwenda kujikumbusha na makandokando mengine mana ni muda mrefu sana.

Hasa huwa najiuliza kwa umri wa Dr Slaa (67) ambae kiserikali umeshastaafu sijui alikuwa anakwenda kusomea nini?

Tukiacha hilo la umri, huwa najiuliza hiyo kozi inatolewa wiki 2 ama?? au ndo likizo?? au kaja kufanya field??!!! huwa nacheka sana nikimuangalia Dr anavyostaafu siasa kizembee.

Wakati mwingine tufanye vitu tukiweka kumbukumbu mana huku ni kujidhalilishaa..
 
Hahahaha hakuna mtu aliyetalajia kama Bwana Slaa atapotezewa kiivyo, yeye mwenyewe anashangaa na hahamini.

Marekani alienda kusomea kozi fupi ya UPISHI WA MIHOGO.
 
Hahahaha hakuna mtu aliyetalajia kama Bwana Slaa atapotezewa kiivyo, yeye mwenyewe anashangaa na hahamini.

Marekani alienda kusomea kozi fupi ya UPISHI WA MIHOGO.

WaTanzania wa sasa wameelimika......ukizengua......unapitishwa hivi.........
 
WaTanzania wa sasa wameelimika......ukizengua......unapitishwa hivi.........

kumbe ccm imefanya kazi kubwa sana,mpaka wewe mwenyewe unakiri kuwa watz mmeelimika.
 
Dr Slaa nilisha muonaga ni muongo sana kila siku utasikia anatishiwa unajiuliza dr slaa kila siku kwanini atishiwe yey tu? Ana nini cha maana? mimi ninauhakika dr slaa hata vibaka hawawezi kumvizia.
Ila ninahisi dr slaa anaugonjwa flani ivi wa kuwa na uoga kupita kiasi.
 
kumbe ccm imefanya kazi kubwa sana,mpaka wewe mwenyewe unakiri kuwa watz mmeelimika.
Katika jamii huwa kunawakuwa na watu maalum (Exceptional) hao watu maalum kwa utu wema wao tu wamejitoa kwa muda mrefu sana kuwaelimisha ndugu zao Watanzania, ndiyo matokeo ya kuamka huku kwa jamii yetu!

CCM nafasi yao ni pale walipozidisha mgandamizo wa kuulazimisha ujinga uingie kwa nguvu kwenye vichwa vya Watanzania, watu wema hao nao walizidisha juhudi ya kuwaelimisha ndugu zao!
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom