Hivi dawa ya kipara ipo kweli jamani?

Hivi dawa ya kipara ipo kweli jamani?

nimecheka sana mkuu;

Mkuu tukio lilikuwa linachekesha saaana on the scene ikizingatiwa ilikuwa uswazi, sidhani kama nimeliwasilisha vilivyo kwa maandishi yangu ila its was fun and comic mkuu.

Aha aha aha!!
 
Kipara hakina shida nimekuwa na kipara tangu age ya 16 sasa umri ni 27 mbona sjawah kuwaza kuhusu kipara??? Mbona watu wanakipenda sana??? Mama watoto anavonipenda afu mwenyewe anaasili ya uhispania mkaleee tena kajileta mwenyewe ..yan wenye vipara tumien busara zenu bana ..nyie n watu muhim ..ila ibilis anawapa giza mnashindwa kujitambua tu. Chamsing elimu ..pesa ..afya njema ..mawazo mazur upendo wa kweli ...utasahau kipara chako
 
Kwa nini usikubaliane na hali Mkuu? Watu wenye busara, hekima, great thinkers kama Socrates, wapole, wasomi wakubwa, matajiri nk; wengi wana vipara. Ukianza artificiality utakuwa unamkufuru Mungu!
 
Dawa pekee ni ulimi wa nyati, upatishe juu ya bichwa lako na hutapata matatizo ya nywele tena

Hawezi kupata tatizo tena maana atakuwa ameishakufa, chezea nyati wewe!
 
Daaaah ushauri mwiiiingi! Asanteni bana ndugu zangu!
 
Back
Top Bottom