ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,769
- 6,585
Nilikuwa na nywele nzuri aisee Nashangaa naanza kuota kipara Gafla tu, halafu naona hata kwa vijana wenzangu wengi siku hizi naona vipara vingi tofauti na zamani ivi tatizo nini? Yaani mimi sipendi kipara au wapi naweza pata dawa jamani siipendi hii hali kabisa
ungemuuliza roney lazima akujibu..