Hivi dawa ya kipara ipo kweli jamani?

Hivi dawa ya kipara ipo kweli jamani?

mimi najua
dawa ya kurudisha nywele ghalama ni 70000. lakini naweza kukusaidia bure
ili wanajamvi waweze kutambua biashara hiyo pia ni ndani ya siku 27
utakua tayari umeona matokeo. kaka upo tayari nitafute nitakupa contact
.

Nisaidie kaka ntafurahi sana nywele yangu ikirudi
 
Dawa pekee ni ulimi wa nyati, upatishe juu ya bichwa lako na hutapata matatizo ya nywele tena
 
Dawa pekee ni ulimi wa nyati, upatishe juu ya bichwa lako na hutapata matatizo ya nywele tena
Sasa nyati ntampata wapi na huko porini wameisha sasa hivi
 
ipo na naijua; kama vipi ni-PM tupeane contact
 
bwanaweee mie nime accept the reality nna kipara and thats it. God sees me perfect this way. Kwani kipara dhambi? kwanza siku wadada hawaangalii sura.
 
Nitazipata pharmacy au maduka ya cosmetics???

kwa Tanzania sijui kama zinapatikana wapi...lakini ughaibuni zatumika haswa na wale watu wanaootwa kwa sana na vinyweleo.

Hata hivyo wataalamu wengi wamekuwa waki discourage matumizi yake, hudhaniwa ni chanzo cha kansa ya ngozi.
 
bwanaweee mie nime accept the reality nna kipara and thats it. God sees me perfect this way. Kwani kipara dhambi? kwanza siku wadada hawaangalii sura.

Ha ha ha na sura tunaangalia
ila kipara ni bahati nasikia mwanaume mwenye kipara wana........
 
Kuna mzee mmoja jirani alikuwa kwenye ugomvi na jirani yake mwenye kipara ila maisha yake duni.

Namnukuhu akisema "zamani vipara vilikuwa vichache na wengi wao walikuwa matajiri na wenye busara pia ila siku hizi mavipara mengi tu mabaya mabaya mengine mavipara yamepigwa yana ngeu tu yaani hadhi ya mavipara haip tena...muone hata jirani yangu hapa likipara libaya halina hata rutuba....."

Sio siri nilicheka saaaana siku hiyo na baada ya maneno hayo lilizuka varangati na ugomvi mkuubwa saana. Aha aha aha aha ha

Team vipara hapa!!
 
Kuna mzee mmoja jirani alikuwa kwenye ugomvi na jirani yake mwenye kipara ila maisha yake duni.

Namnukuhu akisema "zamani vipara vilikuwa vichache na wengi wao walikuwa matajiri na wenye busara pia ila siku hizi mavipara mengi tu mabaya mabaya mengine mavipara yamepigwa yana ngeu tu yaani hadhi ya mavipara haip tena...muone hata jirani yangu hapa likipara libaya halina hata rutuba....."

Sio siri nilicheka saaaana siku hiyo na baada ya maneno hayo lilizuka varangati na ugomvi mkuubwa saana. Aha aha aha aha ha

Team vipara hapa!!

nimecheka sana mkuu;
 
Back
Top Bottom