Hivi Chato iko Geita au Kagera?

Civilian Coin

JF-Expert Member
Dec 2, 2012
2,305
4,332
Ushamba huu, naomba kuuliza jamani:-

Hivi Rais anatokea MKOA WA Kagera au MKOA WA Geita? Kulingana na hotuba yake kagera majuzi.

Je, wilaya ya Chato iko MKOA WA Geita au MKOA WA Kagera? Wanajiografia nisaidieni?

Kwanini kuelekea Uchaguzi Mkuu WA 2015 wilaya ya Chato ilihamishwa kutoka Kagera na kupelekwa Geita? Je, ililenga kufata kabila au ni mpango mji?

Nchi hii sio ya ukabila lakini ilikuwaje hapa? Yaani Mimi ni mjinga kweli, hebu nifahamisheni.

Ni Mimi Mwana CCM mtapeliwa:

# Deogratius Kisandu.
 
Sasa D. Kisandu.. leo unapingana na MTU wa kwenu... Au unatutakia matatizo tu hapa..??
 
Swali la msingi ni kuwa ;

kwa nini Chato ilihamishwa kutoka Kagera kuja Geita(mkoa mpya)?

Swali la nyongeza...ilikuwaje Baada ya Chato kupewa hadhi ya wilaya makao makuu hayakuwekwa Mganza na badala yake yakawa Chato?

swali dogo la nyongeza. kwa nini barabara ya Bwanga kwenda BIharamulo ilipindishwa badala ya kuweka lami kuelekea nyakanazi, ikapindishwa kupitia chato hadi Muganza?..je, biharamulo hawakustahili kupata barabara ya lami?

ntashukuru nikipata majibu ya maswali hayo.
 
Ushamba huu, naomba kuuliza jamani:-

Hivi Rais anatokea MKOA WA Kagera au MKOA WA Geita? Kulingana na hotuba yake kagera majuzi.

Je, wilaya ya Chato iko MKOA WA Geita au MKOA WA Kagera? Wanajiografia nisaidieni?

Kwanini kuelekea Uchaguzi Mkuu WA 2015 wilaya ya Chato ilihamishwa kutoka Kagera na kupelekwa Geita? Je, ililenga kufata kabila au ni mpango mji?

Nchi hii sio ya ukabila lakini ilikuwaje hapa? Yaani Mimi ni mjinga kweli, hebu nifahamisheni.

Ni Mimi Mwana CCM mtapeliwa:

# Deogratius Kisandu.
Chato hapo awali ilikuwa katika mkoa wa Kagera Wilaya ya Biharamulo na Magufuli alikuwa mbunge toka mkoa wa Kagera. Ikaenda Wilaya ya Biharamulo ikawa na majimbo mawili ya uchaguzi Biharamulo Magharibi na Chato baadae chato ikawa wilaya kamili (Busubi na Bugufi wana lugha na desturi sawa na Watusi, Wahutu na Waha). Wasukuma katika Wilaya ya Chato) Wakati huo. Wazinza and Warongo pia wanapatikana Biharamulo ya wakati huo

Kifupi soma link hii itakupanua macho:
http://www.tanzania.go.tz/egov_uploads/documents/MKOA_WA_KAGERA_sw.pdf
 
Swali la msingi ni kuwa ;

kwa nini Chato ilihamishwa kutoka Kagera kuja Geita(mkoa mpya)?

Swali la nyongeza...ilikuwaje Baada ya Chato kupewa hadhi ya wilaya makao makuu hayakuwekwa Mganza na badala yake yakawa Chato?

swali dogo la nyongeza. kwa nini barabara ya Bwanga kwenda BIharamulo ilipindishwa badala ya kuweka lami kuelekea nyakanazi, ikapindishwa kupitia chato hadi Muganza?..je, biharamulo hawakustahili kupata barabara ya lami?

ntashukuru nikipata majibu ya maswali hayo.
Juma Ponda Mali ailikua biharamulo, wakamtimua, ndio maana hakupeleka road, ikapinda
 
Ushamba huu, naomba kuuliza jamani:-

Hivi Rais anatokea MKOA WA Kagera au MKOA WA Geita? Kulingana na hotuba yake kagera majuzi.

Je, wilaya ya Chato iko MKOA WA Geita au MKOA WA Kagera? Wanajiografia nisaidieni?

Kwanini kuelekea Uchaguzi Mkuu WA 2015 wilaya ya Chato ilihamishwa kutoka Kagera na kupelekwa Geita? Je, ililenga kufata kabila au ni mpango mji?

Nchi hii sio ya ukabila lakini ilikuwaje hapa? Yaani Mimi ni mjinga kweli, hebu nifahamisheni.

Ni Mimi Mwana CCM mtapeliwa:

# Deogratius Kisandu.
Kuondoa utata uliopo, siri-kali, baada ya uwanja wa ndege kukamilika April, Chato itakuwa Mkoa unaojitegemea.

Tumeipenda wenyewe ...........
 
Gerrymandering during election especially in Africa....Usiku mwema
 
Lengo lako ni uchochezi wa kikabila hakuna lingine.

Mbona wilaya kadhaa za mkoa wa Mwanza zilipelekwa Geita?
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom