johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,933
- 141,901
Nimejiuliza hili swali baada ya kusikia kiongozi mkuu wa upinzani nchini Kenya mh Raila Odinga akituma salamu za rambirambi kwa niaba ya kambi ya upinzani nchini humo.
Nadhani chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania yaani Chadema watakuwa wametuma salamu na kama bado basi si vibaya wakajifunza kwa wenzao wa Kenya.
Ni katika kukumbushana tu
Maendeleo hayana vyama!
Nadhani chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania yaani Chadema watakuwa wametuma salamu na kama bado basi si vibaya wakajifunza kwa wenzao wa Kenya.
Ni katika kukumbushana tu
Maendeleo hayana vyama!