Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,944
- 95,227
Nasikia yule mkulima wa South kahamia Zimbabwe
Mugabe wa CHADEMA bado anajipanga!
Atatuma salaam bila shaka.
Mugabe wa CHADEMA bado anajipanga!
Atatuma salaam bila shaka.
Haya majamaa yana roho mbaya sana.
Siwashauri cdm kutuma salamu kwa huyo dhalimu, nikikumbuka Manundu aliyopata Tsvangirai, hakuna tofauti na kinachowakuta wapinzani hapa nchini, hususan Lisu.
Badala ya kuwaza kama CHADEMA wametuma salamu za rambirambi, ingekuwa bora endapo ungewaza kama jiwe ataenda kwa mazishi au atatuma mwakilishi!Sema chama kikuu cha upinzani!
Unaelekea kuchukua Gold medal ya "MADA ZA HOVYO 2019".Nimejiuliza hili swali baada ya kusikia kiongozi mkuu wa upinzani nchini Kenya mh Raila Odinga akituma salamu za rambirambi kwa niaba ya kambi ya upinzani nchini humo.
Nadhani chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania yaani Chadema watakuwa wametuma salamu na kama bado basi si vibaya wakajifunza kwa wenzao wa Kenya.
Ni katika kukumbushana tu
Maendeleo hayana vyama!
Hahahaa.......umeshapanic bwashee!Unaelekea kuchukua Gold medal ya "MADA ZA HOVYO 2019".
Sio vibaya kupata ushindi maishani hata kwa mambo ya kijinga.