Hivi Chadema wametuma salamu za rambirambi Zimbabwe kufuatia kifo cha mstaafu Robert Mugabe?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,532
141,334
Nimejiuliza hili swali baada ya kusikia kiongozi mkuu wa upinzani nchini Kenya mh Raila Odinga akituma salamu za rambirambi kwa niaba ya kambi ya upinzani nchini humo.

Nadhani chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania yaani Chadema watakuwa wametuma salamu na kama bado basi si vibaya wakajifunza kwa wenzao wa Kenya.

Ni katika kukumbushana tu
Maendeleo hayana vyama!
 
Nimejiuliza hili swali baada ya kusikia kiongozi mkuu wa upinzani nchini Kenya mh Raila Odinga akituma salamu za rambirambi kwa niaba ya kambi ya upinzani nchini humo.

Nadhani chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania yaani Chadema watakuwa wametuma salamu na kama bado basi si vibaya wakajifunza kwa wenzao wa Kenya.

Ni katika kukumbushana tu
Maendeleo hayana vyama!
Kwa kipi cha maana alichofanya Mugabe? Wazungu walimpa nchi yenye maziwa na asali. Yeye kawaachia waZimbabwe nchi ya ndimu na mbilimbi
 
Nimejiuliza hili swali baada ya kusikia kiongozi mkuu wa upinzani nchini Kenya mh Raila Odinga akituma salamu za rambirambi kwa niaba ya kambi ya upinzani nchini humo.

Nadhani chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania yaani Chadema watakuwa wametuma salamu na kama bado basi si vibaya wakajifunza kwa wenzao wa Kenya.

Ni katika kukumbushana tu
Maendeleo hayana vyama!
Chadema mnaiwaza sasa mkuu
 
Nimejiuliza hili swali baada ya kusikia kiongozi mkuu wa upinzani nchini Kenya mh Raila Odinga akituma salamu za rambirambi kwa niaba ya kambi ya upinzani nchini humo.

Nadhani chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania yaani Chadema watakuwa wametuma salamu na kama bado basi si vibaya wakajifunza kwa wenzao wa Kenya.

Ni katika kukumbushana tu
Maendeleo hayana vyama!
ZAIDI YA SERIKALI KUTUMA RAMBIRAMBI, KUNA CHAMA CHA SIASA KILICHOKWISHA TUMA?
 
T
Nimejiuliza hili swali baada ya kusikia kiongozi mkuu wa upinzani nchini Kenya mh Raila Odinga akituma salamu za rambirambi kwa niaba ya kambi ya upinzani nchini humo.

Nadhani chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania yaani Chadema watakuwa wametuma salamu na kama bado basi si vibaya wakajifunza kwa wenzao wa Kenya.

Ni katika kukumbushana tu
Maendeleo hayana vyama!
Tulituma kwa Morgan wa upinzani kwan ZANU pf ni sawa na ccm hayatuhusu
 
Nimejiuliza hili swali baada ya kusikia kiongozi mkuu wa upinzani nchini Kenya mh Raila Odinga akituma salamu za rambirambi kwa niaba ya kambi ya upinzani nchini humo.

Nadhani chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania yaani Chadema watakuwa wametuma salamu na kama bado basi si vibaya wakajifunza kwa wenzao wa Kenya.

Ni katika kukumbushana tu
Maendeleo hayana vyama!
Mugabe wa CHADEMA bado anajipanga!
Atatuma salaam bila shaka.
 
Nimejiuliza hili swali baada ya kusikia kiongozi mkuu wa upinzani nchini Kenya mh Raila Odinga akituma salamu za rambirambi kwa niaba ya kambi ya upinzani nchini humo.

Nadhani chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania yaani Chadema watakuwa wametuma salamu na kama bado basi si vibaya wakajifunza kwa wenzao wa Kenya.

Ni katika kukumbushana tu
Maendeleo hayana vyama!
Haya majamaa yana roho mbaya sana.
 
Lugola ameruhusu? Si watakuwa wanafanya siasa kinyume na katazo? Mh rais kashatoa inatosha n yuke ni kiongozi wa kiSerikali sio kichama
 
Back
Top Bottom