Hivi CHADEMA kuna Demokrasia kweli? kama hakuna hata Mabadiliko ya Mwenyekiti!!!

Mkuu media ya kibongo wakati mwingine ni kielelezo cha vyakula vilivyoharibika ambavyo tulikuwa tunaletewa na wazungu.

Kibaya zaidi media ya aina hii inachangia katika kujenga akili mbovu sana miongoni mwa watanzania.

Zaidi ya mwezi mzima mmekuwa mnamuongelea Makonda tu, mnasah

Hamuwezi kutokuwa na time na Makonda kwa sababu anawasaidia katika kuwarudisha kwenye fikra za watu makini.

Hamjawahi kuwa na mawazo constructive ya kuijenga nchi, mnaishi kwa matukio ya kupita. Mzee Lowassa aliwashauri kuhusi kuachana na siasa za uanaharakati na kugeukia siasa halisi. Sijui lini mtaanza kuutekeleza ushauri huo wa kiutu uzima.
Mkuu unataka tunyamaze wakati rais anavunja katiba? Utawala wa sheria ndio muongozo wa maendeleo na maisha bora. Leo hii tukinyamaza bashite kaingia clouds TV na SMG, kesho kutwa ataenda kariakoo pale na vifaru vya jwtz. Upuuzi kama huu hauwezi kunyamaziwa kwa kigezo kwamba tujadili maendeleo. Maendeleo yanaendana na Uhuru siyo utumwa wa kifikra na mawazo ya mgando ya viongozi wa CCM.
 
Mkuu unataka tunyamaze wakati rais anavunja katiba? Utawala wa sheria ndio muongozo wa maendeleo na maisha bora. Leo hii tukinyamaza bashite kaingia clouds TV na SMG, kesho kutwa ataenda kariakoo pale na vifaru vya jwtz. Upuuzi kama huu hauwezi kunyamaziwa kwa kigezo kwamba tujadili maendeleo. Maendeleo yanaendana na Uhuru siyo utumwa wa kifikra na mawazo ya mgando ya viongozi wa CCM.
Muendelezo wa media kuwa sehemu ya kuwapumbaza watanzania naweza kuuona kwenye maandishi yako.

Unapoongelea suala la clouds unaongea katika angle moja tu, unaongea katika upande mmoja wa hadithi, jiulize mara mbili ilikuwa kwanini watu wenye silaha wakaingia kwenye ofisi ya kampuni ya habari.
 
Muendelezo wa media kuwa sehemu ya kuwapumbaza watanzania naweza kuuona kwenye maandishi yako.

Unapoongelea suala la clouds unaongea katika angle moja tu, unaongea katika upande mmoja wa hadithi, jiulize mara mbili ilikuwa kwanini watu wenye silaha wakaingia kwenye ofisi ya kampuni ya habari.
Swali unaloniuliza ndio majibu ambayo serikali ilitakiwa kutujibu lakini matokeo yake umeona waziri alifutwa kazi.
 
Mleta mada atakuwa anatokea kile chama cha kibashite ambacho mwenyekiti wake anaweza kumtuma katibu mkuu kwenda kutibiwa nje ya nchi, teh, teh, teh.
msituaminishe kwamba kazi ya upinzani ni kupinga tu siamin hivo lazima mtoa hoja apewe majibu ya kuridhisha tatizo la humu ndani ukitoa hoja yanatoka majibu ya kinyumbu mara bashite mara vyeti hoja yake ina mashiko kama hakuna katika kupokezana vijiti watuambie tu kama ujui kukaa kimya nalo jibu jaman mwenye kujua katiba ya chama cha chadema nafasi ya mwenyekit atujuzeeeeee.mimi sijui
 
msituaminishe kwamba kazi ya upinzani ni kupinga tu siamin hivo lazima mtoa hoja apewe majibu ya kuridhisha tatizo la humu ndani ukitoa hoja yanatoka majibu ya kinyumbu mara bashite mara vyeti hoja yake ina mashiko kama hakuna katika kupokezana vijiti watuambie tu kama ujui kukaa kimya nalo jibu jaman mwenye kujua katiba ya chama cha chadema nafasi ya mwenyekit atujuzeeeeee.mimi sijui
Halafu inaonesha watu wengi nchini hatujui hata vijimambo vidogovidogo sana, eti mtu anahojiwa udemokrasia ndani ya cdm ye anajibu kukifananisha na ccm. Hawajui kama ccm kilikuwa ni chama kilicho kinyume na mrengo wa kimagharibi ktk nyanja zote. Ccm haijawahi kuamini ktk demokrasia ya western, hawalijui hili.
 
Halafu inaonesha watu wengi nchini hatujui hata vijimambo vidogovidogo sana, eti mtu anahojiwa udemokrasia ndani ya cdm ye anajibu kukifananisha na ccm. Hawajui kama ccm kilikuwa ni chama kilicho kinyume na mrengo wa kimagharibi ktk nyanja zote. Ccm haijawahi kuamini ktk demokrasia ya western, hawalijui hili.
katiba ya chadema inasemaje nafasi ya mwenyekiti ni muda gani tunasubir jibu tumeona katibu mkuu ulifanyika uchaguzi pale ubungo
 
katiba ya chadema inasemaje nafasi ya mwenyekiti ni muda gani tunasubir jibu tumeona katibu mkuu ulifanyika uchaguzi pale ubungo
Halafu mkuu, unadhani ktk mfumo wa kidemokrasia wa kimagharibi katiba ni cha mwisho kwa ukubwa basi, kuna kanuni kama natural justice ziko juu ya katiba ndo maana zikaingizwa ktk katiba za mataifa mbalimbali, bill of rights. Kwahiyo hata kama katiba ya cdm itasema mwenyekiti atachaguliwa hata hadi afe, kidemokrasia hiyo ni katiba ya kidicteta.

Zimbabwe kuna chaguzi kila baada ya vipindi, uchaguzi unafanyika ila ni kwakuwa tu katiba haikuweka kikomo cha madaraka, katiba hiyo na raisi wake ni dicteta. Demokrasia ya kimagharibi, lazima ung'atuke tu baada ya muda muafaka. Katiba ya kidemokrasia ni lazima iweke kikomo cha kuwa madarakani.
jib
jibu analo
 
Mbona nyie mlimpitisha lowasa katika uchaguzi mkuu 2015 bila kupingwa!!?? Huoni kuwa huo ni udikteta. Nyani haoni kundule @ BAK
 
Hyo ndo km Mungu wao hawawez mtoa hata km wanaona kaongoza muda mrefu hawawez kusema chochote
taizo moja naliona kuna kukabidhiwa chama kwa mfumo wa kijiti yaa kura alafu kuna kurithishwa chama kutoka kwa mwenyechama kwa mfano kati ya sefu na lipumba nani karithishwa chama lakini lzma tujue ni nani alikuwa katika mchakato wa mbowe kupewa uenyekiti ?hakuna uliona wapi uchaguzi upo kwa katibu tu ruzuku zinapindisha ukwelii
 
Nashangaa kwa ndugu zangu wanaodanganya kwamba wanaitaji demokrasia . swali la kujiuliza ni kwamba hao walio kipau mbele kudai demokrasia wanatii taratibu za demokrasia wakat huku hakuna hata mabadiliko ndani ya chama hasa kwa nafasi ya uwenyekiti!!!

Kwa Mimi nikiulizwa chama moja wapo cha kidikteta , CHADEMA lazima nikiorodheshe.
Tubadilike jamani. Toa chongo kwanza iliyo kwenye boriti ya macho yako arafu ndiyo utazame ya mwenzio.

Nianze kwa kukuita mjinga nikiweka reservation ya kukuita mpumba.vu kama hutaelewa! Uchaguzi ni component ya Demokrasia! Niambie, je! Tangu Mbowe achaguliwe hapajawahi kuwa na Uchaguzi? Je, Mbowe yupo pale kwa kura au bila kura? Tuje kwa CCM, Rais ndiye Mwenyekiti WA Chama, Haina mjadala, kura ya ndiyo au hapana, licha ya Katiba kuruhusu wengine kugombea, Nani aliwahi kuruhusiwa kugombea na incumbent chairman/president?

Hakuna kipengele kinachompa Ukomo WA kugombea Mkiti, ni suala la Wanaochagua, siku wakisema Hapana itakuwa hapana, kuendelea kusema ndio maana yake Wamekubaliana na M/kiti wao! Sasa sijui inakuwashia nini! Nyie na Ufeki wenu wala hamuoni maboriti machoni kwenu!
 
Nianze kwa kukuita mjinga nikiweka reservation ya kukuita mpumba.vu kama hutaelewa! Uchaguzi ni component ya Demokrasia! Niambie, je! Tangu Mbowe achaguliwe hapajawahi kuwa na Uchaguzi? Je, Mbowe yupo pale kwa kura au bila kura? Tuje kwa CCM, Rais ndiye Mwenyekiti WA Chama, Haina mjadala, kura ya ndiyo au hapana, licha ya Katiba kuruhusu wengine kugombea, Nani aliwahi kuruhusiwa kugombea na incumbent chairman/president?

Hakuna kipengele kinachompa Ukomo WA kugombea Mkiti, ni suala la Wanaochagua, siku wakisema Hapana itakuwa hapana, kuendelea kusema ndio maana yake Wamekubaliana na M/kiti wao! Sasa sijui inakuwashia nini! Nyie na Ufeki wenu wala hamuoni maboriti machoni kwenu!
Kweli we hamnazo. Kwaio museveni na Mugabe wanawaita madikteta kwa mantinki gan!!! Acha kukalilishwa wewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom