Hivi CHADEMA kuna Demokrasia kweli? kama hakuna hata Mabadiliko ya Mwenyekiti!!!

ALLEN KP

Senior Member
Mar 28, 2017
118
31
Nashangaa kwa ndugu zangu wanaodanganya kwamba wanaitaji demokrasia . swali la kujiuliza ni kwamba hao walio kipau mbele kudai demokrasia wanatii taratibu za demokrasia wakat huku hakuna hata mabadiliko ndani ya chama hasa kwa nafasi ya uwenyekiti!!!

Kwa Mimi nikiulizwa chama moja wapo cha kidikteta , CHADEMA lazima nikiorodheshe.
Tubadilike jamani. Toa chongo kwanza iliyo kwenye boriti ya macho yako arafu ndiyo utazame ya mwenzio.

IMG_20170330_203024.jpg
 
Nashangaa kwa ndugu zangu wanaodanganya kwamba wanaitaji demokrasia . swali la kujiuliza ni kwamba hao walio kipau mbele kudai demokrasia wanatii taratibu za demokrasia wakat huku hakuna hata mabadiliko ndani ya chama hasa kwa nafasi ya uwenyekiti!!!
Kwa Mimi nikiulizwa chama moja wapo cha kidikteta , CHADEMA lazima nikiorodheshe.
Tubadilike jamani. Toa chongo kwanza iliyo kwenye boriti ya macho yako arafu ndiyo utazame ya mwenzio.View attachment 488944
Huko kwenu 2020 unapita bila kupingwa
 
Nashangaa kwa ndugu zangu wanaodanganya kwamba wanaitaji demokrasia . swali la kujiuliza ni kwamba hao walio kipau mbele kudai demokrasia wanatii taratibu za demokrasia wakat huku hakuna hata mabadiliko ndani ya chama hasa kwa nafasi ya uwenyekiti!!!
Kwa Mimi nikiulizwa chama moja wapo cha kidikteta , CHADEMA lazima nikiorodheshe.
Tubadilike jamani. Toa chongo kwanza iliyo kwenye boriti ya macho yako arafu ndiyo utazame ya mwenzio.View attachment 488944
nakuona new member unajifunza kuanzisha thread, karibu jf
 
Nashangaa hawa wa ajabu sana kwani wanapinga hata katiba ya chama chao!!! Au ndy inavyoeleza kuwa kusiwe na mabadiliko!!!
Katiba inaeleza utaratibu wa kumpata mwenyekiti kupitia kura!Sasa kama anashinda yeye,unatakaje?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom