Kongwamaji
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 560
- 145
Ni kweli kuna baadhi ya mambo serikali inayafanya yanayoonyesha inabana demokrasia.
Lakini pia ni ukweli kuwa Mbowe genge lake ni wababaishaji daraja la kwanza.
Mbowe na genge lake hawawezi kuunda serikali hao.
Sasa hivi wameshajivuruga mpaka hawajielewi kabisa. Huyo Mbowe kapooza utadhani kuku aliyenyewa na mvua.
Lissu naye kazi yake kubwabwaja tu kwenye mitandao ya kijamii. Lema ndo bure kabisa. Mwezi mchanga huyo.
Msigwa naye mshamba mshamba tu. Sugu yeye anadili na Faiza.
CHADEMA are a bunch of sore losers.
Ha ha ha haaaa, umeua