babu na mjukuu
JF-Expert Member
- Jun 23, 2016
- 3,841
- 6,546
Muda huu natazama Azam TV wakionesha tukio la kuaga miili ya askari wetu waliopoteza maisha Congo.
Nimekaa nikitafakari kuhusu ushiriki wa CHADEMA kwenye matukio ya kitaifa yasiohusiana na siasa.
Binafsi sikumbuki nilini nimewahi kuwaona hawa makamanda akishiriki kwenye matukio hayo. Iwe ni sherehe za uhuru,ugeni wa kimataifa nk.
Hata kwenye tukio hili, hawapo. Namuona Zitto Kabwe, Lipumba na wengineo. Lakini CHADEMA pamoja na kujiona kwamba wao ni wazalendo kuliko watanzania wote, lakini kwenye matukio ya kutuunganisha wao wanajiyenga. Lakini wakipatwa na tatizo wanakuwa wa kwanza kuomba ushiriki wa wote.
Hivi hata msiba huu kwao wanaona unawahusu CCM tuu?
Nimekaa nikitafakari kuhusu ushiriki wa CHADEMA kwenye matukio ya kitaifa yasiohusiana na siasa.
Binafsi sikumbuki nilini nimewahi kuwaona hawa makamanda akishiriki kwenye matukio hayo. Iwe ni sherehe za uhuru,ugeni wa kimataifa nk.
Hata kwenye tukio hili, hawapo. Namuona Zitto Kabwe, Lipumba na wengineo. Lakini CHADEMA pamoja na kujiona kwamba wao ni wazalendo kuliko watanzania wote, lakini kwenye matukio ya kutuunganisha wao wanajiyenga. Lakini wakipatwa na tatizo wanakuwa wa kwanza kuomba ushiriki wa wote.
Hivi hata msiba huu kwao wanaona unawahusu CCM tuu?