Hivi CHADEMA huwa hawahusiki kwenye matukio ya kitaifa?

Kuna sheria yoyote ile au kifungu cha katiba wamevunja kwa kutohudhuria hilo tukio? Kama hamna basi kila mtu ana uhuru wa kuchagua.Kama wamevunja sheria kwa kutohudhuria basi washtakiwe(Cdm).
 
Unajuaje kama alipigwa na ninyi wenyewe ili mpate kiki na kura za huruma?
Matibabu yake yapo kisheria na yanatakiwa yafuate taratibu za kisheria. Mlipoelekezwa taratibu mkajitia wajuaji na mkadai mtauza hata figo zenu mumtibu,vipi mmemaliza kuuza figo?

Mwenye akili anajua ule ulikuwa ujanja wa kupiga hela kupitia ugonjwa wa lissu. Baada ya michango kupungua mmemtelekeza Nairobi,na mmegundua umuhimu wa mkono wa serekali kwenye hili,mnataka msaada lakini mnakosea kwakuleta ubabe
Hata akifa Juma Ponda Mali kwa ajali, sitapoteza muda wangu kuangalia au kwenda kuhudhulia mazishi yake . Nachukua CD yang ya porn najiburudisha.
Mbunge machachari, mnadhimu mkuu wa kambi ya upinzani amepigwa risasi hadharani, mbele ya nyumba za viongozi, kwenye maeneo ya bunge, CCTV kamera zikiwa zimewashwa.... Hata kumtibia mmekataa. Acha uchuro kijana.
 
Itifaki inafuatwa, kama hawakupewa mwaliko wa kuhudhuria sasa waende kivipi? Wakifika watakaa kajamba nani? Isitoshe wangejialika wenyewe sasa hivi wangekuwa central polisi kwa kesi ya kuvamia maziko bila mwaliko.. Hii bongo yetu mpya tunaijuwa siku hizi.
Na tungewalaumu kwa kufanya siasa msibani!
 
Muda huu natazama Azam TV wakionesha tukio la kuaga miili ya askari wetu waliopoteza maisha Congo.

Nimekaa nikitafakari kuhusu ushiriki wa CHADEMA kwenye matukio ya kitaifa yasiohusiana na siasa.

Binafsi sikumbuki nilini nimewahi kuwaona hawa makamanda akishiriki kwenye matukio hayo. Iwe ni sherehe za uhuru,ugeni wa kimataifa nk.

Hata kwenye tukio hili, hawapo. Namuona Zitto Kabwe, Lipumba na wengineo. Lakini CHADEMA pamoja na kujiona kwamba wao ni wazalendo kuliko watanzania wote, lakini kwenye matukio ya kutuunganisha wao wanajiyenga. Lakini wakipatwa na tatizo wanakuwa wa kwanza kuomba ushiriki wa wote.

Hivi hata msiba huu kwao wanaona unawahusu CCM tuu?
Wao wanahusika kutoshiriki uchaguzi na maneno ya kifedhuri katika mitandao ya kijamii. Mambo ya kitaifa hayawahusu.
 
Muda huu natazama Azam TV wakionesha tukio la kuaga miili ya askari wetu waliopoteza maisha Congo.

Nimekaa nikitafakari kuhusu ushiriki wa CHADEMA kwenye matukio ya kitaifa yasiohusiana na siasa.

Binafsi sikumbuki nilini nimewahi kuwaona hawa makamanda akishiriki kwenye matukio hayo. Iwe ni sherehe za uhuru,ugeni wa kimataifa nk.

Hata kwenye tukio hili, hawapo. Namuona Zitto Kabwe, Lipumba na wengineo. Lakini CHADEMA pamoja na kujiona kwamba wao ni wazalendo kuliko watanzania wote, lakini kwenye matukio ya kutuunganisha wao wanajiyenga. Lakini wakipatwa na tatizo wanakuwa wa kwanza kuomba ushiriki wa wote.

Hivi hata msiba huu kwao wanaona unawahusu CCM tuu?
Walialikwa?? Lakini hao hao JWTz no wanaCCm kufuru. Unamjua Mabeyo wewe?
 
Unajuaje kama alipigwa na ninyi wenyewe ili mpate kiki na kura za huruma?
Matibabu yake yapo kisheria na yanatakiwa yafuate taratibu za kisheria. Mlipoelekezwa taratibu mkajitia wajuaji na mkadai mtauza hata figo zenu mumtibu,vipi mmemaliza kuuza figo?

Mwenye akili anajua ule ulikuwa ujanja wa kupiga hela kupitia ugonjwa wa lissu. Baada ya michango kupungua mmemtelekeza Nairobi,na mmegundua umuhimu wa mkono wa serekali kwenye hili,mnataka msaada lakini mnakosea kwakuleta ubabe
Nani anayeogopa uchunguzi huru wa tukio la TL kupigwa risasi,guilty are always afraid.
 
Back
Top Bottom