johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,998
- 142,023
Imekuwa ni Imani ya iuda mrefu kwamba Ngome ya CHADEMA ni Kanda ya Kaskazini, Ngome ya CUF ni Pemba na Ngome ya ACT Wazalendo Ujiji, Kigoma, lakini siyo rahisi kuwaona CHADEMA wakishiriki kwenye shughuli mbalimbali za kitaifa huko Kaskazini
Kipekee sana niwapongeze CHADEMA Kanda ya Nyasa hasa Iringa na Mbeya kwa kweli kila tukio liwe la huzuni au furaha lazima watakuwepo.
Mungu wa Mbinguni mbariki mchungaji Msigwa π
Kipekee sana niwapongeze CHADEMA Kanda ya Nyasa hasa Iringa na Mbeya kwa kweli kila tukio liwe la huzuni au furaha lazima watakuwepo.
Mungu wa Mbinguni mbariki mchungaji Msigwa π