Hivi CHADEMA bado wapo?

Mkuu, Stephen Wassira aliposema kuwa CHADEMA kitakufa 2014 hawakumuelewa. Sasa kila kitu hadharani

Najua mnaujua ukweli ya kuwa cdm ipo imara mnachofanya ni kutaka cdm ijiondoe ukawa ila ukweli ni kwamba Walipoungana Hamkujua sasa mnajichanganya sioni mkisema Ukabila na udini tna
 
Taratibu mnaanza kuiona kuwa CHADEMA si lolote tena
Mimi watu kama hawa hata sishangai wanapokuja na silly excuses kutaka kuharalisha kile ambacho wenye chama wamekiamua.

Kuna baadhi ya watu walikuwa wanarusha matusi ya ajabu kuhusu vyama vingine kwa sababu tu wenye chama hawakuvihitaji hivyo vyama. Kwa sasa ndiyo wako mbele wakisema eti hakuna adui wa kudumu. Sasa sijui wakati wanarusha matusi hawakufahamu kitu kama hicho.
 

this is what we call poor risk assessment

brand ya chadema ilikuwa ver powerful kuliko hii ya UKAWA,

basi tena, akili ndogo zikiamua tena
 
Wapo lakini wamebadili jina wanajiita UKAWA.
 
Nipo hapo, ila kwa sababu ni mweusi sana huwezi niona
 

Mkuu BAK, CHADEMA ndio wamegundua leo kuwa umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu?
Lini vyama hivi vitatu vimepatana na kuwa kitu kimoja???
 
Last edited by a moderator:
Frankly speak, Kiukweli kama ilivyokuwa kwa Tanganyika kufa natural death, hivyo hivyo kwa chama changu CHADEMA, tatizo ni uongozi wa juu kujiamlia mambo bila mpangilio, kujaza watu kwenye mikutano ya UKAWA isiwe sababu ya kujifariji kwani huu ni muungano usio stable kabisa(Show off), mnaosema ni muungano wa kwenye katiba mpya tu na nyie mmepotoka na kupotoshwa kwani tayari watu washaanza kujipanga kwa uchaguzi wa 2015.

Athari zake zitawafika hasa vijana wachanga kisiasa kwa kukosa fursa za uongozi sababu by nature UKAWA ITALAZIMU KUTUMIA WANASIASA WAZOEFU NA WAKONGWE KUTOKA CDM, CUF na NCCR hivyo hakutakuwa na dhana ya vijana kama nguvu ya mabadiliko.
 

Ahahahahahahaaaaaaaaaaaa mwaka huu CCM mnalo. Mtajamba chehe pyuuuuuuuuuuu. UKAWA Juuuuuuuuuuuu juuuuuuuuu juuuuuuuuuu zaidi.
 

Wasingekuwepo usingeweza kuwaongelea kwan topic zako zote humu ni juu ya cdm.
 

Kaka hvi bdo unabeba maboksi na uzee wote huo.
 
Chadema kilishakufa kitambo sana wengine tumeanza kukisahau kabisa.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…