Kabla ya muungano hali ilikuwaje! Kulikuwa na uhasama wowote baina ya Tanganyika na zanzibar? Mbona tuliishi kindugu!Nyerere hakuwa mjinga kulazimisha muungano japo Karume alikuwa hataki..
Na kuvunjika hilo sahau
Kabla ya muungano hali ilikuwaje! Kulikuwa na uhasama wowote baina ya Tanganyika na zanzibar? Mbona tuliishi kindugu!Nyerere hakuwa mjinga kulazimisha muungano japo Karume alikuwa hataki..
Na kuvunjika hilo sahau
Kupata Rais boya ili wauze kila kituHabari ndugu!
Nimekuwa nikijiuliza hili swali lakini sijawahi kupata majibu sahihi.
Sasa Leo NAOMBA wajuzi wa mambo mnisaidie Kwa dhati kabisa.
CCM kinafaidika vipi na huu MUUNGANO wa Tanganyika na Zanzibar?
Shukrani sana.
Tunaitaka Tanganyika yetu.
Kuandika hujui, mambo ya muungano utayajulia wapi!mkuu mala zote nam huwa najiuliza hilo swali na majibu sipati, il nilijalbu kufukunyua hata majbu nlopata hayakuniliadhisa.. ila nahisi sisiemu wanajalibu kuishi ndoto za BABA WA TAIFA za miaka ya 70 huko na wanasahau now tupo 2020s
Yeah... CCM ukianguka muungano unakufa... Unatakiwa mjadala wa Kitaifa kujadili upya MuunganoHivi mnajua huo muungano umeshikiliwa na uzi mwembambq uitwao ccm?
inawezekana kweli kuandika sijui lakini sijajua umewezaje kunijibu ikiwa kuandika sijui, mana huwezi kujibu kitu kisichoeleweka kama hujakielewa. na kama wewe ni mwalim wa kiswahili subili julai shule zifungue. mkuu tuheshimiane hapa hatupo kufundishana namna yakuandika sikuona ulazima wa wewe kunijibu mana andiko hili si lako.Kuandika hujui, mambo ya muungano utayajulia wapi!
Kuitawala zanzibar pia na kunyonya resources zakeHabari ndugu!
Nimekuwa nikijiuliza hili swali lakini sijawahi kupata majibu sahihi.
Sasa Leo NAOMBA wajuzi wa mambo mnisaidie Kwa dhati kabisa.
CCM kinafaidika vipi na huu MUUNGANO wa Tanganyika na Zanzibar?
Shukrani sana.
Tunaitaka Tanganyika yetu.
Kivipi Mkuu?Muungano ni kichaka wajanja wachache ndani ya ccm wanatumia kupora mali za Tanganyika
Kuzuia vyama vingine kufanya siasa na uçhafuzi huruHabari ndugu!
Nimekuwa nikijiuliza hili swali lakini sijawahi kupata majibu sahihi.
Sasa Leo NAOMBA wajuzi wa mambo mnisaidie Kwa dhati kabisa.
CCM kinafaidika vipi na huu MUUNGANO wa Tanganyika na Zanzibar?
Shukrani sana.
Tunaitaka Tanganyika yetu.
ccm si inaongoza serikali ya Muungano? Lakini fuatilia... Rasilimali za Muungano hazipo zinaguswa za TanganyikaKivipi Mkuu?