Hivi CCM hakuna uchaguzi wa mwenyekiti?

Nimeisoma taarifa ya msemaji wa chama Ndugu Ole Sendeka inaonesha kwamba tarehe 23/July kuna makabidhiano ya Kijiti cha Mwenyekiti.
Sasa najiuliza, hakuna tangazo la kuchukua wala kurudisha fomu! Pia hakuna kujinadi wala kunadiwa!
Nadhani mfumo wa kukabidhiana ulifaa sana kwa miaka 1960s, 1970s, 1980s lakini sio katika zama hizi?
# Domokrasia
Hivi kule UKAWA nani alishawi kuchukua fomu kumpinga Mbowe?
Hivi nani alichukua Fomu kumpinga Lowasa fisadi?

CCM ni ruksa kuchukua fomu kupimana ubavu tofauti na chadema ni dhambi ya usaliti!
 
Ccm kama chama tawala bado wana dhana ya kofia mbili. Sijui hii ni katiba au sheria au kanuni au utamaduni...!!???
Kinachojadiliwa kwa sasa ni jee? Ni lini rais anatakiwa kukabidhiwa kofia ya pili.
Mjadala wa pili jee..?? Urais na Uenyekiti utenganishwe!!???
Mwenye kujua Katiba/Sheria/Kanuni/Utamaduni wa CCM juu ya hili aweke mezani ili Tujadili kwa kuwa tunaelewa na sio kwa hisia
 
Hakuna demokrasia Afrika
 

Attachments

  • 1466353852360.jpg
    1466353852360.jpg
    68.5 KB · Views: 26
Nimeisoma taarifa ya msemaji wa chama Ndugu Ole Sendeka inaonesha kwamba tarehe 23/July kuna makabidhiano ya Kijiti cha Mwenyekiti.
Sasa najiuliza, hakuna tangazo la kuchukua wala kurudisha fomu! Pia hakuna kujinadi wala kunadiwa!
Nadhani mfumo wa kukabidhiana ulifaa sana kwa miaka 1960s, 1970s, 1980s lakini sio katika zama hizi?
# Domokrasia
Inavyoonekana ni Kikao cha kuthibitisha Mwenyekiti.
 
Fomu wana chukua, kumbuka Mbowe aligombea 2014 na aliyekuwa Naibu katibu wa chama Jimbo la Tabora
 
Hivi Mbowe ni mwenyekiti kwa miaka mingapi sasa. Kuna wanafunzi tokea wanazaliwa mpaka sasa wapo vyuo vikuu Mwenyekiti bado ni Mbowe. CUF katibu Seifu tokea chama kinazaliwa
 
Yaani uenyekiti CCM taifa ni kama kuvalishana joho la ukamanda baada ya kuwa uchaguzi inageuka sherehe ya kumtangaza mwenyekiti
Msipotoshe watu. mchakato wa Kumpata Mwenyekiti CCM unaanzia kwenye mchakato Wa kumpata mgombea urais. Sifa moja ya mgombea urais CCM awe na uwezo kuongoza chama. Kwa mfumo wa CCM Ukiwa rais tu tayari ni Mwenyekiti.
 
Nimeisoma taarifa ya msemaji wa chama Ndugu Ole Sendeka inaonesha kwamba tarehe 23/July kuna makabidhiano ya Kijiti cha Mwenyekiti.
Sasa najiuliza, hakuna tangazo la kuchukua wala kurudisha fomu! Pia hakuna kujinadi wala kunadiwa!
Nadhani mfumo wa kukabidhiana ulifaa sana kwa miaka 1960s, 1970s, 1980s lakini sio katika zama hizi?
# Domokrasia
Kama wewe si mwananchama wa CCM ni ngumu kujua kwa faida yako katiba ya CCm inasema Raisi wa nch kama anatoka CCM ndie atakuwa mwenyekiti wa chama hivyo hakuna haja ya mtu mwingine kuchukua fomu ya kugombea nafasi hiyo.
 
Nimeisoma taarifa ya msemaji wa chama Ndugu Ole Sendeka inaonesha kwamba tarehe 23/July kuna makabidhiano ya Kijiti cha Mwenyekiti.

Sasa najiuliza, hakuna tangazo la kuchukua wala kurudisha fomu! Pia hakuna kujinadi wala kunadiwa!

Nadhani mfumo wa kukabidhiana ulifaa sana kwa miaka 1960s, 1970s, 1980s lakini sio katika zama hizi?

# Demokrasia
Uchaguzi mwakani
 
Back
Top Bottom