Hivi Bunge la Tanzania linaisimamia Serikali au linashirikiana na Serikali?

Arovera

JF-Expert Member
Nov 19, 2013
10,965
28,455
Kwa akili ya kawaida

Tujiulize Bunge letu linafanya kazi ya kuisimamimia Serikali au linashirikiana na Serikali?

Bunge ni chombo cha wananchi ambacho hutakiwa kuisimamia Serikali na kuishauri kwenye mambo kadha wa kadha, sasa tujiulize ni Sheria ngapi za kumuumiza mwananchi zimepitia kwenye Bunge husika kwa mfano

1. Sheria ya tozo
2. Kodi ya mazao ya asilimia 2

Hii trend ya kuita raia kwenye kamati ya maadili naona ndio ilianza kuwafanya watu wapuuzie Bunge na sio Jenerali Ulimwengu pekee watanzania wengi Bunge wameshaliona hamna kitu

Bunge la Mzee Sitta na Bunge la Mama Makinda yalikuwa mabunge yaliyojawa hoja za maana na yaliheshimika kuliko sasa hivi

N:B Ndugai Acha kutisha watu wewe timiza majukumu yako heshima itakuja kutokana na kazi na sio vitisho.
 
Kwa akili ya kawaida

Tujiulize Bunge letu linafanya kazi ya kuisimamimia Serikali au linashirikiana na Serikali?

Bunge ni chombo cha wananchi ambacho hutakiwa kuisimamia Serikali na kuishauri kwenye mambo kadha wa kadha, sasa tujiulize ni Sheria ngapi za kumuumiza mwananchi zimepitia kwenye Bunge husika kwa mfano

1. Sheria ya tozo
2. Kodi ya mazao ya asilimia 2

Hii trend ya kuita raia kwenye kamati ya maadili naona ndio ilianza kuwafanya watu wapuuzie Bunge na sio Jenerali Ulimwengu pekee watanzania wengi Bunge wameshaliona hamna kitu

Bunge la Mzee Sitta na Bunge la Mama Makinda yalikuwa mabunge yaliyojawa hoja za maana na yaliheshimika kuliko sasa hivi

N:B Ndugai Acha kutisha watu wewe timiza majukumu yako heshima itakuja kutokana na kazi na sio vitisho.
Bunge la kushughulikia watu sio kutumikia watu. Sababu ubunge hawakupata kwa kupendwa na watu bali kwa kupitishwa na Chama
 
  • Thanks
Reactions: Auz
Bunge lilikuwa la mzee sita na mama makinda, serikali iliipata freshi kwa hoja motomoto toka kwa wabunge wa wakati ule. Bunge la sasa ni kitu kimoja na serikali hakuna kuwajibishana
 
Kwa akili ya kawaida

Tujiulize Bunge letu linafanya kazi ya kuisimamimia Serikali au linashirikiana na Serikali?

Bunge ni chombo cha wananchi ambacho hutakiwa kuisimamia Serikali na kuishauri kwenye mambo kadha wa kadha, sasa tujiulize ni Sheria ngapi za kumuumiza mwananchi zimepitia kwenye Bunge husika kwa mfano

1. Sheria ya tozo
2. Kodi ya mazao ya asilimia 2

Hii trend ya kuita raia kwenye kamati ya maadili naona ndio ilianza kuwafanya watu wapuuzie Bunge na sio Jenerali Ulimwengu pekee watanzania wengi Bunge wameshaliona hamna kitu

Bunge la Mzee Sitta na Bunge la Mama Makinda yalikuwa mabunge yaliyojawa hoja za maana na yaliheshimika kuliko sasa hivi

N:B Ndugai Acha kutisha watu wewe timiza majukumu yako heshima itakuja kutokana na kazi na sio vitisho.
Hili ni kosa lillofanyika katika uchaguzi
 
Hili ndilo bunge mwendazake aliloliasisi!!! Akasifiwa kisha bunge hilo hilo likasema atake asitake!!!.........lotamwongezea muda
 
Back
Top Bottom