itafika tu sababu hivi vitu vipo vimeisha undwa, utajiri wa mali asili ipo kasoro ni ubongo tu. siku hiyo tutakuwa watu bongo lakini sasa in mbuzi bongo !!
Tukifikia hapo walioko watakuwa wanaishi kwenye sayari kama Mars na hata Pluto. Tunaweza kama tutaandaa mfumo unaojitegemea na kujiendesha badala ya huu wa kijambazi na kifisadi.